Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza haraka nyumba yenye vyumba vitatu ambayo ipo kwenye eneo kubwa la mita 35 kwa 30 Chanika mwendo wa dk 7 toka barabara ya lami. Umeme upo. Bei sh. Mil. 13, haipungui. Unaweza kuikarabati...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Price its 250 for karbonn A7 and 320 for samsung, both are dual and run on android gingerbread If interested PM pls
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu, nyumba inapangishwa mwenge karibu na TRA, ina vyumba vitatu vya kulala, chumba kimoja ni master, ina dining room, sitting room, kitchen na public toilet, kodi ni 450000 inahitajika ya...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Natafauta kiwanja mwenge dsm medium size my budget is 50m.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu mwenye corolla ltd 110, naihitaji kwa ajili ya teksi. Ninayo 4m. Mwenye nayo anicheki kwa 0762738485
0 Reactions
0 Replies
1K Views
DELL STREAK 7 wifi+4G (16GB internal memory) 7.9 inches screen ni mpya imefunguliwa box kwa kuupgrade os to android 3.2 na kui root ili uweze kuinstall kitu chochote kile na kuweza kutumia skype...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Wahi sasa, napatikana Dar mabibo hostel.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serious buyer manual..disel..2003 model...chasis lh184..imetoka bandarini jana... tsh 26ml
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta sim nokia n8 used.. Mwenye nao tuasiliane tafadhali
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Wadau heshima kwenu, Natafuta chumba na sebule iwe self contained maji na umeme, iwe maeneo ya SOWETO au RAU, Kodi isizidi 100,000 kwa mwezi, ikiwa na usalama wa geti na ukuta ntashukurusana. kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu, Natafuta nyumba ili nipange, chumba kimoja self contained na sebule au vyumba viwili na sebule moja lazima kiwe self (maji muhimu yawepo). Mazingira yawe mazuri kwa usafi na...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
nauza nokia asha 200 ipo poa bei ni Tsh 80,000 nipo mwanza ina earphone na usb cable
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina nokia asha 200 ipo katika hali nzuri ina kila kitu chake,nataka kubadilisha na mtu yoyote aliye tayari aniambie na aina ya simu aliyonayo
0 Reactions
19 Replies
2K Views
ravj 1996 color - green five doors up date ;sold out
0 Reactions
3 Replies
1K Views
FOR SALE: Dell D630 Intel (R) Core (TM)2 Duo CPU, T7100 @ 1.80 GHz, 0.99 GB of Ram, HDD 80GB @ 300,000/- only. If interested check on me via 0713218388
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Tuna andika write-ups za mambo mbalimbali na kufanya consultancy services mfano project/grant proposals, concept notes, letters of Inquiry (LOI), business plans (for startup and ongoing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ipo katika mazingira mazuri na nimeambatanisha picha uijue vizuri. haina tatizo lolote ina uwezo wa internate 3g Memory card 1gb Earphones Charge Bei inaanzia elfu 80 Maelewano yapo, wahi kwani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nyumba ya kisasa anauzwa ipo ndege beach ina uwanja mkubwa sqm 950, ina vyumba 3 vya kulala vyote master, jiko, public toilet, dining na store, bie yake ni ml 190, interested customer pls contact...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
2L Engine 2400 cc A.T Gear box 16 Seats Gari ipo bagamoyo, kuiona/kuinunua piga 0754498569 au 0683087207 Bei: Milioni sita (6)
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom