Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wakuu. Naomba msaada wa alternator ya bmw 318i,ya mwaka 2002,chessis no.WBAAZ72000NG01993 mwenye kuweza nisaidia please pm ahsanteni
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza hii camera ni 10mp,kwa sh laki tatu aliye serious anaweza kuwasiliana na mimi kwa simu yangu 0768808819 ama ni pm,
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Top ten reasons to drink argi, acts to release anti aging hormones, affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control. reduce blood cholesterol...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Mwenye miche ya minazi ya muda mfupi au anayejua panauzwa miche ya minazi ya muda mfupi tafafhali naomba ani PM. Naomva pia kujua bei yake.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Salaam wanajamii,nilikuwa na maswali la kibiashara,1.)Nina water pump ya honda nataka kuileta bongo,je naweza kuuza?bei kwa makisio ni ngapi.ni brand new nameinunua hapa uk,lakini sina tena...
0 Reactions
2 Replies
960 Views
mashine ya ,max malipo ya mwezi wa sita inauzwa Tsh 400000 call 0716 567 467 ina hali nzuri.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana nilipoteza simu yangu aina ya Sony Xperia L maeneo ya Ubungo hivyo basi naamini kuwa mtu yule ambaye atakuwa kaichukua , au kuiokota sasa hivi atakuwa aidha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale mnaohitaji external hard disc za trancend ninazo bei ni poa 145
1 Reactions
16 Replies
2K Views
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI??? KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL. NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Natafuta lock ya staring au ya gear level ya automatic car.
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Waungwana kwa anaeiitaji hii simu tuwasiliane,bado iko poa ila sema hai-support code USSD yaan mpesa,tigopesa, na vifurushi na hii ndivyo ilivyoundwa so kwa mwenye utayari no. yangu ni 0767954466...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu ninashida ya kuku wa kienyeji pure ambao wamebakiza kama mwezi au wiki tatu waanze kutaga...nahitaji mitetea kama 100.....natanguliza shukrani,,,,,
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau JF, Nina ndugu zangu wawili. wa kwanza ni mwanaume ana miaka thelathini,elimu kidato cha nne na amesomea mambo ya Hoteli na Utalii, specialize kwenye Barman and Waiter,ana uzoefu wa zaidi ya...
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Jamani mimi ni kijana wa miaka 19 na ni mtunzi mzuri wa hadithi na najiiaminini kuwa nna kipaji hiko. nlianza kuandika hadithi tangu nikiwa mdogo na sasa nimeanza kuandika hadithi zangu serious...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kwa wakazi wa dar iphone 4 inauzwa bei 300000 inaufa kwenye kioo ila inafanya kazi bila tatzo nchek 0719004668
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Karibuni wadau wa utalii wa ndani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.Mwezi desemba tumendaa trip nyingine ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa njia ya MARANGU kwa muda wa siku 6 kupanda na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nauza nyumba mjengo wa kupangisha ya zamani ya chini iko mjini kabisa pembeni ya hospitali kuu alrahma mjini zanzibar ina vyumba saba including na store nane pia ina vyumba viwili vya uwani ina...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Imetumika miezi mitano Make:bajaj Model:boxer bm150 Registration:T...CKM Price:1.7mil(negotiable) Mawasiliano:Raymond Bakari 0712228690 Mwenye namba ya simu ndiye mmiliki.hakuna dalali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za Leo wakuu? Napenda nichukue fursa hii kuinadi bidhaa tajwa hapo juu. Ni pikipiki aina ya Boxer Bm 150. Inauzwa Tsh 1,400,000/=, Sababu za Kuuzwa ni Longo Longo zimezidi kutoka kwa Dereva...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Back
Top Bottom