Top ten reasons to drink argi, acts to release anti aging hormones, affects insulin sensitivity so it is particularly useful in maintaining blood glucose control.
reduce blood cholesterol...
Salaam wanajamii,nilikuwa na maswali la kibiashara,1.)Nina water pump ya honda nataka kuileta bongo,je naweza kuuza?bei kwa makisio ni ngapi.ni brand new nameinunua hapa uk,lakini sina tena...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana nilipoteza simu yangu aina ya Sony Xperia L maeneo ya Ubungo hivyo basi naamini kuwa mtu yule ambaye atakuwa kaichukua , au kuiokota sasa hivi atakuwa aidha...
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI???
KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL.
NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
Waungwana kwa anaeiitaji hii simu tuwasiliane,bado iko poa ila sema hai-support code USSD yaan mpesa,tigopesa, na vifurushi na hii ndivyo ilivyoundwa so kwa mwenye utayari no. yangu ni 0767954466...
Wakuu ninashida ya kuku wa kienyeji pure ambao wamebakiza kama mwezi au wiki tatu waanze kutaga...nahitaji mitetea kama 100.....natanguliza shukrani,,,,,
Wadau JF, Nina ndugu zangu wawili. wa kwanza ni mwanaume ana miaka thelathini,elimu kidato cha nne na amesomea mambo ya Hoteli na Utalii, specialize kwenye Barman and Waiter,ana uzoefu wa zaidi ya...
Jamani mimi ni kijana wa miaka 19 na ni mtunzi mzuri wa hadithi na najiiaminini kuwa nna kipaji hiko. nlianza kuandika hadithi tangu nikiwa mdogo na sasa nimeanza kuandika hadithi zangu serious...
Karibuni wadau wa utalii wa ndani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.Mwezi desemba tumendaa trip nyingine ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa njia ya MARANGU kwa muda wa siku 6 kupanda na...
Nauza nyumba mjengo wa kupangisha ya zamani ya chini iko mjini kabisa pembeni ya hospitali kuu alrahma mjini zanzibar ina vyumba saba including na store nane pia ina vyumba viwili vya uwani ina...
Habari za Leo wakuu? Napenda nichukue fursa hii kuinadi bidhaa tajwa hapo juu. Ni pikipiki aina ya Boxer Bm 150. Inauzwa Tsh 1,400,000/=, Sababu za Kuuzwa ni Longo Longo zimezidi kutoka kwa Dereva...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.