Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,523
- 14,002
Karibuni wadau wa utalii wa ndani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.Mwezi desemba tumendaa trip nyingine ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa njia ya MARANGU kwa muda wa siku 6 kupanda na kushuka.Gharama zetu ni nafuu na tuna timu yenye uzoefu mkubwa wa kupandisha wageni mlimani.Trip zitanza 20/12/2013 hadi 30/12/2013 kila siku kutakuwa na kundi la kuondoka(daily group departure) Kujiandikisha au maulizo piga 0787140432 au tuma email kwenda infotanzaniaa@gmail.com JIANDIKISHE MAPEMA KUONDOA USUMBUFU.!@!