Graphs kama Histogram, Pie Chart n.k michoro iko kumi na mbili na unaruhusiwa kutumia program yeyote ambayo utakuwa unataka kuitumia
kama zile za kwe ye B plans
Bofya hapa uone aina hizo za...
samahani wadau,naomba nijuzwe bei ya sim tajwa hapo juu kwa mlio dar,nahitaki kunua ila huku mikoan ni kama wanatuuzia bei juu sana! natnguliza shukran
Natafuta hostel maeneo ya ilala, chang'ombe, kariakoo, au sehemu nyingine ambayo naweza pata usafiri wa kufika posta moja kwa moja. Masharti:::: kuwe na maji, ulinzi. Nitajieni ofa
Habari wanajamii,
Natafuta kiwanja kwa ajili ya Makazi eneo la Morogoro chenye thamani ya Millioni 2 mana ndo uwezo wangu Mungu alionijalia.
Wenu Mtiifu
habar zenu wana jf.... Me natafuta chumba cha kuish (kupanga) single room.Me nipo Misungw kwa sasa kama upo misungw una info zozote plz tuambiane coz misungw madalali hakuna
Habarini marafiki
Ni fursa pekee na wakati muafaka wa wewe kutaka kitu bora zaidi
hivyo usiisite na kutangatanga ama kuhangaika huko na kule kutafuta
ni wapi shughuli yangu naweza kuifanya, na ni...
Hi wakuu, nahitaji mziki wa ukweli wa kagari kangu, iwe inauwezo wa dvd, mp3, flash, memory card nk.
Naomba ushauri ni wapi naweza pata na bei zake.
natanguliza shukrani
Imetumika miezi saba
bado mpya kabisa..bei ni ya kutupa 190 inapungua..kama unahitaji nitafute 0689545870
Memory
Card slot
No
Internal
8 GB storage, 256 MB RAM
Camera
Primary
5 MP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.