iphone 4 inauzwa

iphone 4 inauzwa

dgratius

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
218
Reaction score
11
Kwa wakazi wa dar iphone 4 inauzwa bei 300000 inaufa kwenye kioo ila inafanya kazi bila tatzo nchek 0719004668
 
Yap ina scratch kwenye kioo ila inafanya kazi vizuri kabisa na ndo maana bei ni 300000 na bado mpya kama mtu anaitaji aweke no zake na picha ntamtumia whatsapp maana nimeshindwa upload hapa na pia nime upgrade operating ios7 saivi.
 
Yap ina scratch kwenye kioo ila inafanya kazi vizuri kabisa na ndo maana bei ni 300000 na bado mpya kama mtu anaitaji aweke no zake na picha ntamtumia whatsapp maana nimeshindwa upload hapa na pia nime upgrade operating ios7 saivi.
Kuna watu kibao kama wewe wananiletea Iphone wame upgrade to ios7 ...nazimelock!
Ya kwako ni sawa?
Kwanini usi repair kioo cha mbele kwa 70,0000 au cha nyuma 20,000.....uendele nayo?
:eyeroll1:
 
Iko sawa kabisa mkuu mimi nimenunua iphone 4s ndo maana nauza hii ila hii ni nzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom