Habari
Nauza kiwanja changu ambacho unaweza jenga nyumba ya makazi chenye ukubwa wa miguu 20 kwa 19 maeneo ya Kibaha kwa Mfipa. Tshs 5,000,000.
Kutoka Kwa Mfipa stand hadi kwenye Kiwanja kwa...
Je? Unamiliki biashara ya aina yoyote na ulikuwa unahitaji kufikia wateja wengi,kujitangaza pia kuuza bidhaa zako kupitia njia ya kidigitali.
Wasiliana nasi Leo tutakutengenezea website kwa...
Habari za wakati huu;
Maisha ni safari. Katika safari hii tunapitia mengi,mema na mabaya.Wakati mwingine kuna ambayo yanatupata ambayo tunaweza kuyazuia/kuyafanya yawe vile tupendavyo na kuna...
✓Unawezekana gari yako imeanza kutumia mafuta mengi kuliko ilivyokia awali
✓Au inakosa nguvu kwa namna yoyote Ile na haujui nini cha kufanya
✓Tafadhali usisite kutupigia simu ili kupata maoni...
Wadau habari,
Karibuni kwa biashara
Sisi ni mafundi wa furniture ambazo zinatumia material za epoxy/resin zikichanganyika kitaalam na mbao na kuleta mvuto .
Tunapatikana maeneo ya makumbusho...
Habari ya Mfungo ndugu zangu Wakristo na Waislamu.
Nina tani zaidi ya 10,000 za zao la Soya natafuta mteja wa 'Bulk' yaani mzigo mkubwa.
Mzigo upo Lusaka, Zambia.
Nimeambatanisha sifa zake...
Habari Wakuu.
Leo nataka tuangalie mambo machache ambayo kila mwenye gari anaweza kuyafanya mwenyewe(DIY) ili kuhakikisha gari yake inatumia mafuta vizuri na hivyo kumpunguzia gharama.
Yafuatayo...
Habari zenu wanaJamiiForums,
Ninahitaji mkopo kwenye microfinance institution au personal kwa masharti nafuu na riba ndogo nataka kuboost biashara yangu.
Kama kuna mtu anafahamu taasisi hiyo au...
Tunza Nyayo na Taraji Coldpress Virgin Coconut Oil
Kipindi hiki cha mvua maeneo mengi yanatuamisha maji.. Ili kupita eneo moja kwenda lingine inakulazimu kukanyaga maji..
Hivyo ufanya miguu yako...
Kanuni mama ya uwekezaji kwenye viwanja na nyumba ni kutengeneza fedha wakati wa kununua nyumba. Kanuni hii inamhusu mwekezaji yeyote anayewekeza kwenye viwanja na nyumba.
Kwa kutumia mbinu...
Habari!
Nauza ubao wa kidijitali au screen ya matangazo inch 49, android OS, wa kusimamisha unacheza files zote kuanzia videos, GIFs, pictures etc.
Unafaa kwa matumizi ya dukani, supermaket...
Habari!
Tunauza portable car inverter kwa ajili ya kubadili Umeme wa DC kuwa AC kwa matumizi madogo kama kucha
ji laptop, kuchaji bluetooth speaker, ku run hair dryer au fan.
Kwa wale...
Habari!
Nauza smart keyboard cases complete na external wireless mouse yake kwa ajili ya iPad Pro 11/10.9 inch. Products ni mpya kabisa
Bei 140,000 TZS tu!
Tupigie 0712075845
Wakuu habari.
Nipo jijini Dar nilikuwa nahitaji dumb bells used au za mtumba au hata zile wanazotengeneza mtaani. Mpaka nakuja kuuliza humu ina maana sina pa kuanzia na naamini ntapata msaada...
Mahitaji kwa ajili ya kampuni
1. Namba za Nida (kila mtu yake)
2. TIN numbers (Kila mtu yake,TIN yoyote aliyonayo kwa jina lake)
3. Phone, email, (kila mtu yake)
4. P. O. Box zenu.
5. Mahali...
Habari zenu ndugu zangu wa jf 🖐, Mimi shida yangu kubwa iliyonileta hapa ni uhitaji wa chumba cha kuishi maeneo ya kigamboni ila kisiwe mbali sana na kivuko cha feri.
Sababu iliyopelekea kuja...
Hakika splina ni TIBA bora ambayo itaweza kukuondolea matatizo au maradhi mengi katika mwili wako. splina liquid chlorophyll ina mchanganyiko wa zinc, selenium, vitamin E, vitamin C, vitamin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.