Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

TAARIFA: AC IMESHAUZWA Habari zenu Nauza ac inafaa kwa chumba size sq 14 hv maana imefungwa bado haijafunguliwa inafanya kazi. Ni kuja kuwasha kuhakiki na kama una fundi wk mnaifungua na kuondoka...
3 Reactions
2 Replies
560 Views
Kama unahitaji kutengenezewa website ya Biashara yako au website mbalimbali kama za mziki, movie, kubet, social media na vingine vyote. Wasiliana nami 0692782826 malipo ni baada ya kazi
1 Reactions
4 Replies
589 Views
Wakuu mwenye kioo cha Hisense Inch 40 anisaidie,npate bei pia.0677089280.Au anayejua vinakopatikana plz.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
T-SHIRT QUALITY [emoji91][emoji91] SIZE:M,L,XL,XXL. MATERIAL:COTTON [emoji39] JUMLA: *10000 [emoji625] UBUNGO RIVERSIDE#[emoji390][emoji338]. Tukuhudumie boss wetu[emoji4]0786647143 (whatsapp)
0 Reactions
3 Replies
612 Views
✓Nyumba vyumba 4 ,3 Master bed ✓Sakafu ya tiles, ✓Gypsum board ✓Maji moto na baridi ✓AC,connections ✓Ceiling fan, ✓Kitchen kabinates, ✓Perving bloc, ✓Maji ya Dawasa ✓Umeme Tanesco, ✓Fensi ya...
1 Reactions
4 Replies
925 Views
Wakuu naombna mnisaidie, nahitaji chupa za kuwekea wine za glass. Hata kwa kununua.
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Shamba lipo Chalinze Pingo,usawa wa kiwanda cha tiles. Km 4 kutoka Morogoro road. Katika shamba kuna kijumba cha vyumba viwili choo na bafu Ukubwa eka 8 Pote milioni 12 Panafaa kwa kilimo na ufugaji
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wadau, kwenye ukurasa huu kila siku nitakuwa nikikuletea magari yaliyoko sokoni (yanayouzwa) yaliyotumika Tanzania na nje. Pia kama una gari yako unauza usisite kuwasiliana nasi kwa namba...
3 Reactions
845 Replies
63K Views
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya makumbusho, Kijitonyama na Sinza bei kuanzia 50-60 kwa dalali naomba mnisaidie ni mwanafunzi
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, naomba kama kuna anaeuza mtungi wake wa gas anicheki au kama kuna wale wafanyabiashara wa gas wanaoacha biashara zao na kuuza mitungi yao naomba pia niambiwe. Nanunua mitungi yote...
3 Reactions
58 Replies
6K Views
[emoji95]VIWANJA KIGAMBONI MWEMBE MDOGO[emoji95] UMBALI [emoji3502]Km 22.6 kutoka Ferry. [emoji3502]Km 24 kutoka kigambon Darajani [emoji3502]Kutoka Kibada Center ni kilomita 15 hadi site SIFA...
0 Reactions
5 Replies
880 Views
MABALO YA MTUMBA YA CAM STORE CREAM NA GRADE A TU 0712163738/0762212623 1. Balo la magauni marefu Shifonie 750000 Dubai,850000 Canada PC 140+yote cream 2. Balo la magauni mix mafupi 580000 China...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
HP ELITEBOOK 640 G1 14.00-inch Display resolution 1366x768 pixels Core i5 RAM 8GB Hdd 500GB OS Window 10pro Intel Integrated HD Graphics 620 PRICE 600,000/= We Offer 💥 Warranty 🔮 Extra Programs...
1 Reactions
4 Replies
722 Views
Ipo Mbweni Beach. Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, store, sebure haijakamilika, imeezekwa kwa vigae, madirisha ya mbao + nondo yamepachikwa. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa sqm 800...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NYUMBA INAUZWA IPO - DAR-ES-SALAAM-Tz WILAYA - KINONDONI MAHALI - MBWENI UBUNGO ___ BEI - MIL 220 maongezi yapo UKUBWA KIWANJA - SQM 850 UMILIKI - INA HATI SAFI YENYE ____ Vyumba vitatu vyote...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Fahamu Sifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni. Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu. Kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
inauzwa kubota mill 18 maongezi yapo imetumika misimu miwili made in India ipo morogoro kilakala call 0627518825
0 Reactions
0 Replies
332 Views
MARK X NEW MODEL ON SALE (DKY) Price 14.8MLS(FIXED) MARK X NEW MODEL KALI SANA Color SILVER Engine 2490 Rim sports New [emoji682] tyre Low mileage New tyre Clean sana EXCHANGE ALLOWED...
1 Reactions
5 Replies
967 Views
Mwenye kingamuzi used cha dish cha azam nahitaj
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hello habari ya leo wadau , Mimi naishi Dar Es Salaam Kimara Temboni na sasa nahama kikazi kwenda mkoa mwingine Nauza vyombo vyote vya ndani ambapo katika vyombo hivyo nna TV Inch 32 kampuni ya...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom