Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza taa za solar ninazo Sita tu Bei ni elf50 kwa kila moja nyote mnakaribishwa unaweza kuweka nje ya fensi ndani au kwenye viwanja vya nyumbani ni sensor
0 Reactions
5 Replies
648 Views
Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Zipo changamoto nyingi za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Leo ninakushirikisha baadhi ya changamoto ambazo nimeziona zinaweza kukuzuia kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine ya mafanikio...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo lipo karibu na hii barabara. Kwa aliye serious anifate DM. Asante.
0 Reactions
11 Replies
806 Views
Mwaka 2023 ulianza kama utani siku zikazidi kwenda nusu mwaka tukaumaliza watu walizidi kujiuliza mengi "miezi sita imeishaje au mwaka ni mfupi? lakini yote kwa yote ndiyo hali halisi huwezi zuia...
1 Reactions
1 Replies
575 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje? Unapataje deli? Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30? Mchanganuo...
1 Reactions
3 Replies
648 Views
Bei 180 Maongezi yapo 0678650509 . Nko mbez mwisho
0 Reactions
0 Replies
424 Views
Nyau anauzwa (Felis catus) elfu kumi na tisa 19,000/= (negotiable) Location: Kigamboni(Kichangani) Piga: 0759448927 Kama unahitaji rangi tofauti nicheki WhatsApp: 0620523897
10 Reactions
74 Replies
6K Views
MIKUMI NATIONAL PARK & CHOMA WATERFALLS (2 DAYS | 1 NIGHT) *TAREHE 16-17th December 2023 GHARAMA, 155,000/= SAFARI ITAANZIA DAR ITAHUSISHA -Malazi -Usafiri kwenda na kurudi -Chakula...
7 Reactions
112 Replies
4K Views
Habari mkuu, Naomba nikujulishe moja ya sababu ya biashara nyingi kukwama. Kiukweli yapo mengi yanayochangia kutokuendelea kwa biashara nyingi na majawapo Ni Mfumo bora na Mfumo sahihi. Vile...
1 Reactions
13 Replies
942 Views
Habari wadau, kwenye ukurasa huu tutakuwa tukikuletea magari yanayouzwa yaliyotumika hapa nchini na nje ya nchi. Kama pia una gari unauza unaweza kuwasiliana nasi kwa namba; [emoji736]Tunatoa...
5 Reactions
446 Replies
30K Views
Ipo sokoni bei 100k (mazungumzo yapo) ni used ila still kama mpya.. kila kitu chake kipo router yenyewe, power cable pamoja na ethernet cable. Location: Mwanza Buzuruga. Mawasiliano: 0767 744 254
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Habari , nahitaji mabati used. Pc 50 nalipa cash mkononi nipo moshi mjini Mawasiliano 0672701329
1 Reactions
3 Replies
930 Views
Nyumba ipo kigamboni Mwembe mtengu inauzwa na mwenye nyumba. Master 2 Living room 2 Kitchen 1 Public toilet 1 Dinning 1 Seating 1 Ukubwa eneo 400sqm(20*20) Bei 38Mil MTEJA ANARUHUSIWA KULIPA...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wakuu, Natafuta dalali yeyote wa kunitaftia frame Arusha, maeneo ya mjini kama Standkuu, kkoo, chini ya mti, jogoo, stand ndogo, Mnazi Mmoja...nk. Kwa yeyote mwenye connection tuchekiane...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
TOYOTA MARK X(EBB)⚡️ YEAR:2005 ENGINE CAPACITY:2490Cc ENGINE CODE: 4GR KILOMETER:49,000 AUTOMATIC TRANSMISSION COLOUR:SILVER PRICE/BEI:13,800,000 MILLIONS☎️☎️🚘👍.0711707070 ✅🤝
8 Reactions
24 Replies
4K Views
Vijana wa kike na kiume wanahitajika kuuza bidhaa za bima, kazi ni Dar es Salaam, wawe na ujuzi wa bima kuanzia ngazi ya cheti, ni kazi ya masoko, hivyo kama una sifa tajwa tafadhali ni PM kwa...
2 Reactions
6 Replies
563 Views
Habari wanajamii... Natoa fursa kwa mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote kwa kiwango cha juu na wanaozingatia usafi sana. Eneo ni Bar maarufu iliyopo...
12 Reactions
116 Replies
6K Views
Ilinunuliwa February, 2019, mwezi September, 2019 ikapata ajali. Tangu ipate ajali hakuna matengenezo yoyote yaliyofanyika, kwa muda wote huo ipo ndani. Ina nyaraka halali. Inapatikana Dsm. Njoo...
1 Reactions
17 Replies
977 Views
Back
Top Bottom