Nauza taa za solar ninazo Sita tu Bei ni elf50 kwa kila moja nyote mnakaribishwa unaweza kuweka nje ya fensi ndani au kwenye viwanja vya nyumbani ni sensor
Ndugu zangu Nina simu nauza ila ni ya mkopo. Imebakiza miezi mitatu kumaliza. Ni Infinix smart 7+. Nina dharura na Sina kitu kingine Cha ziada. Anaeweza kunisaidia kuinunua naomba tuwasiliane please.
Zipo changamoto nyingi za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Leo ninakushirikisha baadhi ya changamoto ambazo nimeziona zinaweza kukuzuia kutoka hapo ulipo kwenda hatua nyingine ya mafanikio...
Mwaka 2023 ulianza kama utani siku zikazidi kwenda nusu mwaka tukaumaliza watu walizidi kujiuliza mengi "miezi sita imeishaje au mwaka ni mfupi? lakini yote kwa yote ndiyo hali halisi huwezi zuia...
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Hivi kwa mtu anayetaka kuanza hiyo kazi/ biashara utaratibu upoje?
Unapataje deli?
Na kama usipohitaji deli anapataje lile boksi lenye pieces 30?
Mchanganuo...
Nyau anauzwa (Felis catus) elfu kumi na tisa 19,000/= (negotiable)
Location: Kigamboni(Kichangani)
Piga: 0759448927
Kama unahitaji rangi tofauti nicheki WhatsApp: 0620523897
MIKUMI NATIONAL PARK & CHOMA WATERFALLS
(2 DAYS | 1 NIGHT)
*TAREHE 16-17th December 2023
GHARAMA, 155,000/=
SAFARI ITAANZIA DAR
ITAHUSISHA
-Malazi
-Usafiri kwenda na kurudi
-Chakula...
Habari mkuu,
Naomba nikujulishe moja ya sababu ya biashara nyingi kukwama.
Kiukweli yapo mengi yanayochangia kutokuendelea kwa biashara nyingi na majawapo Ni Mfumo bora na Mfumo sahihi.
Vile...
Habari wadau, kwenye ukurasa huu tutakuwa tukikuletea magari yanayouzwa yaliyotumika hapa nchini na nje ya nchi. Kama pia una gari unauza unaweza kuwasiliana nasi kwa namba;
[emoji736]Tunatoa...
Ipo sokoni bei 100k (mazungumzo yapo) ni used ila still kama mpya.. kila kitu chake kipo router yenyewe, power cable pamoja na ethernet cable.
Location: Mwanza Buzuruga.
Mawasiliano: 0767 744 254
Nyumba ipo kigamboni Mwembe mtengu inauzwa na mwenye nyumba.
Master 2
Living room 2
Kitchen 1
Public toilet 1
Dinning 1
Seating 1
Ukubwa eneo 400sqm(20*20)
Bei 38Mil
MTEJA ANARUHUSIWA KULIPA...
Habari wakuu,
Natafuta dalali yeyote wa kunitaftia frame Arusha, maeneo ya mjini kama Standkuu, kkoo, chini ya mti, jogoo, stand ndogo, Mnazi Mmoja...nk.
Kwa yeyote mwenye connection tuchekiane...
Vijana wa kike na kiume wanahitajika kuuza bidhaa za bima, kazi ni Dar es Salaam, wawe na ujuzi wa bima kuanzia ngazi ya cheti, ni kazi ya masoko, hivyo kama una sifa tajwa tafadhali ni PM kwa...
Habari wanajamii...
Natoa fursa kwa mabinti warembo watatu(3) wenye uzoefu wa utengenezaji wa fresh juice aina zote kwa kiwango cha juu na wanaozingatia usafi sana.
Eneo ni Bar maarufu iliyopo...
Ilinunuliwa February, 2019, mwezi September, 2019 ikapata ajali. Tangu ipate ajali hakuna matengenezo yoyote yaliyofanyika, kwa muda wote huo ipo ndani.
Ina nyaraka halali.
Inapatikana Dsm.
Njoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.