Oven+jiko la umeme linauzwa ni jipya bado. Maana risiti ya mauzo bado ipo
Mawasiliano. 0672701329 .....bei ni 230,000/= lipo moshi mjini...free delivery included
Kama picha inavyoonekana full...
Habari wanajamii forum wenzangu kama kichwa cha madaa kinavyojieleza, Mimi ni kijana wa kiume wa kitanzania mtafutaji na mchakarikaji. Nimefanikiwa kufungua biashara na kupata documents zote za...
Tutakayojifunza:
(a) Lengo kuu la programu.
(b) Shabaha/Fokasi ya programu ya leo.
(c) Ufafanuzi wa Fokasi ya programu.
(d) Sababu za uwepo wa fursa kwa kila taarifa.
(e) Dondoo muhimu...
Wapendwa wateja tunavyo viwanja na heka maeneo yafuatayo.
Kikatiti , Maji ya Chai, King'ori .
Viwanja vya king'ori vinaanza kwa ml 4.5.
Kikatiti viwanja vinaanza ml 4. Maji ya chai ni ml 7 mpaka...
1. Usajili wa Kampuni
2. Usajili wa Majina ya Biashara
3. Kuhuisha Taarifa za Kampuni zilizosajiliwa kabla ya 2018.
4. Upatikanaji wa leseni na vibali mbalimbali.
5. Kufanya Filling ya Annual...
Ndugu habari
Mimi ni kijana mwenye ujuzi na excel sasa nmeona pengine naweza kuufanya ujuzi huu kuwa huduma na kupata chochote kinisadie hapa na kule.
Nina ujuzi na excel na ninaweza kutumia...
Nina nissan caravan yangu. Super roof.
Sina muda wa kusimamia kwa hapa dar.
Nahitaji wa kuingia mkataba awe na shughuli binafs kama shule au supllies kwa humu humu jijini. Dereva ni wake...
Chumba kimoja na sebule
Ukubwa wa kiwanja 17 kwa 15 mita
Eneo ni Mvuti kutoka stend mpaka kwenye nyumba ni dakika 5-7 ukitembea kwa mguu.
Bei 3.5 milion
Bei ya one coin moja ni shilingi za kitanzania 31,000/, ila nimeamua kuuza kwa bei ya offer 25,000/. Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa simu no 0657 22 44 25.
Coin ziko 1000, (25,000 * 1000)...
Nauza kiwanja changu niki kizuri kipo Iringa mjini maeneo ya Tagamenda karibu na shule ya secondary Tagamenda
Ni kilomita chache kutoka ipogolo stand
Hatua 28 kwa 20
Bei Tsh 1,500,000...
FORWARDED
"12-11-2016 05:00hours
Habari za muda huu?,nimeibiwa gari muda huu Kibaha ndio tupo njiani tunatafuta gari namba T771 DAG. IST.Tafadhali naomba unisambazie msg hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.