hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 114
Sema kwa umeme wa tanesco si tutakufa na njaa...Kwa nyumba Hz za kupanga upikie umeme kweli si utauwawa.
Jiko la induction ni nini, na linafanyaje kaziJIKO LA MKOPO. 40700/=
Okoa gharama ya gesi na mkaa. Ivisha maharage Kwa Tsh 350 tu.
Umeme kidogo , okoa muda jikoni
Tutafute kwa namba
Whatsap. 0620135671
Call and sms 0620135671
Umeniwahi na hili swali.Toa elimu kwanza
Jiko la induction ni nini, na linafanyaje kazi
Asante mkuu, alitakiwa atoe elimu kwanza,Umeniwahi na hili swali.
Ameandika kama vile kila mtu anajua hilo jiko la induction.
Bila mkopo ni bei gani tulinganishe na kwengine?JIKO LA MKOPO. 40700/=
Okoa gharama ya gesi na mkaa. Ivisha maharage Kwa Tsh 350 tu.
Umeme kidogo , okoa muda jikoni
Tutafute kwa namba
Whatsap. 0620135671
Call and sms 0620135671
Maelezo hayajitoshelez 0620135671
SawsawaaUkitoa elimu nitag please
Asante mkuu, alitakiwa atoe elimu kwanza,
Unit 1 inatosha tu kpkia sku 2.. unit Moja inauzwa 400Kwa nyumba Hz za kupanga upikie umeme kweli si utauwawa.
275000/=Bila mkopo ni bei gani?
Umeme kidogo? Tuelimishe
Okoa gharama ya gesi na mkaa. Ivisha maharage Kwa Tsh 350 tu.Maelezo hayajitoshelezi
Bei ya jiko moja ni 274520/= ila tutanatoa kwa mkopo, kwa kianzio Cha shilingi 40720/= tu unapata jiko lako, pamoja na sufuria 2 na kikaangio kimoja..Sema kwa umeme wa tanesco si tutakufa na njaa...
Hapan sio kwerinasikia unit 1 inatumika lisaa 1 .sasa ilo lisaa moja unapika nini