Bwashee Machui
Member
- Jan 2, 2019
- 17
- 19
Habari waungwani, wafanyabiashara wa viatu,ninampango wa kuanza kufanya biashara ya simple shoes za kike Kwa anayeweza kunipa diteliz za uhakika namkaribisha Wasapu 0673817130 tufanye biashara pamoja
TujuzaneeHabari waungwani, wafanyabiashara wa viatu,ninampango wa kuanza kufanya biashara ya simple shoes za kike Kwa anayeweza kunipa diteliz za uhakika namkaribisha Wasapu 0673817130 tufanye biashara pamoja
Nani kakwambia kila kiatu Cha kike katoni ni 36Habari waungwani, wafanyabiashara wa viatu,ninampango wa kuanza kufanya biashara ya simple shoes za kike Kwa anayeweza kunipa diteliz za uhakika namkaribisha Wasapu 0673817130 tufanye biashara pamoja
😂 Mbona huna hoja mimi nmelenga simple shoes zinazokaa pea 36 hivyo wapo walio nielewa na kunifuata kwenye mawasiliani nliyoweka🙏🙏🙏Nani kakwambia kila kiatu Cha kike katoni ni 36
Jibu zuri.😂😂
😂 Mbona huna hoja mimi nmelenga simple shoes zinazokaa pea 36 hivyo wapo walio nielewa na kunifuata kwenye mawasiliani nliyoweka🙏🙏🙏