Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza mayai ya kuku wa kienyeji kwa bei ya jumla 13000tsh kwa trey, order tunasambaza kuanzia trey 10 unaletewa hadi ulipo. Kwa anaehitaji au mwenye kufahamu masoko yake tuwasiliane kupitia...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Gari tajwa hapo juu inahitajika iwe katika Hali nzuri. 0712416363 wasiliana nami kibiashara
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Quick deal Used pantech vega no 6 13mp camera 5.9 inch scree 32Gb internal memory 2gb ram 1.6gh processor 280,000
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Mbwa ni mkubwa na yupo katika hali nzuri. Ni mkali pia contact 0714-943684
0 Reactions
1 Replies
1K Views
We prepare books of accounts, Financial statements, VAT returns and business plans at affordable cost. Call 0757 568 523 or 0674 579 575
0 Reactions
0 Replies
600 Views
nauza samsung galaxy s2 almost mpya haina michubuko na haina hta mwezi price-210000 mwenye huitaji anicheki #0659116111
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza galaxy samsung s3 almost mpya haina michubuko Specification Internal-16gb Camera-8mpx Bei -300000tsh Anaitaji anicheki namba 0659116111
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Nahitaji mojawapo ya simu hizo, iwe kwenye hali nzuri bila scatches. Budget yangu ni 900k to 1m. Mwenye nayo whatsapp me 0717301520
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Bb bold 9900-laki 7.5,bold 9780-laki 5,bold 9700-laki 4.5,curve 2-laki 2.5,curve 3-laki 3.2,galaxy s2-lak 8.simu zote zpo ktk hali nzuri.kinachouzwa ni simu na betri tu.cal 0658309632
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari wanajamvi naomba msaada wenu kwa leo jumapili ni wap naweza pata gari la kununua, kati ya haya, toyota allion, raum, carina, au gari lolote dogo ispokuwa sitak starlet, ist na vitz au...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
naomba kujuzwa naweza kupata wapi hii chumvi ya kiwandani na syo ilee table salt ,nahitaji ilee kali zaidi,natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWAFAKA UMEPATIKANA Tunamtambo wakuweza kuondoa chumvikwenye Maji katika Visima vyote mwenye kuitaji Mtambo unaitwa R.O yan reverse of Smith inatoa Maji chumvi ya aina Yoyote Utaratibu upo...
1 Reactions
28 Replies
9K Views
Natafuta Nyumba za NHC za kupanga Dar Es Salaam, mwenye connection na mtu anayeweza kufanikisha upatikanaji an pm
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habar wana jf natafuta tecno zile nyembamba ya batani yenye camera ya mbele na nyuma na flashlight.Mwenye nayo anichek
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Pata NEW Tablet Pcs Kwa Bei ya Jumla na Rejareja Usikubali kubaki nyuma nyuma kitechnologia na kiuchumi Sasa waweza pata Tablet za inch 7 and 10 inch kwa bei Nafuu saana. Mfano: 7 inch...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wadau, Nauza iphone 5 nyeusi bei 450,000/. napatikana Dar es salaam. simu iko poa kabisa, nmeshindwa kuappload picha mtandao unasumbua. Mwenye kuwa interested anichek 0713 806 766.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF napenda kuwatangazia kwa yeyote aliye mhitaji wa vitu vifuatavyo. ninanvyo na ninaviuza "on as is where is basis" 1. Vipande vya mbao pamoja na vipande vya mirunda . vimebaki na vingine...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Habari, Naomba mnisaidie kwa hili mimi natumia bank ya CRDB kupata mshahara wangu mwezi wa 6 nilitumia ATM ya DTB kuchukua fedha zangu kwani ATM card yangu ya CRDB ni Visa cha kunishangaza...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
shuka za kigoma futi (6×6) zikiwa na forinya(2).zipo rangi na maua mbalimbali nauza shilingi 45,000 kwa shuka 1 kama upo serious nichek 0716385824
1 Reactions
17 Replies
20K Views
Processor core 2 duo @2.53hz Ram 4gb Hdd 320gb 13inc LCD display Graphics adapter Nvidia. OS X 10.10.4 (yosemite) Mag safe power adapter. (Charger) PC is used but in mint condition and fully...
0 Reactions
1 Replies
879 Views
Back
Top Bottom