Wana JF napenda kuwatangazia kwa yeyote aliye mhitaji wa vitu vifuatavyo. ninanvyo na ninaviuza "on as is where is basis"
1. Vipande vya mbao pamoja na vipande vya mirunda . vimebaki na vingine kufumuliwa kutoka kwenye jamvi la orofa. mbao hizi na vipande vya mirunda vinajaza tipper ya tani 7 . Vinafaa kwa kuni au matumizi mengineyo
2. Kanda za bongo muvi title tofauti ziko takriban seti 220 au zaidi.
3. Mabomba ya chuma yaliyofukuliwa wakati wa ukarabati/ujenzi
Nitafurahi kuwasiliana na genuine buyers only. nipigie 065 925 8932
nawasilisha
1. Vipande vya mbao pamoja na vipande vya mirunda . vimebaki na vingine kufumuliwa kutoka kwenye jamvi la orofa. mbao hizi na vipande vya mirunda vinajaza tipper ya tani 7 . Vinafaa kwa kuni au matumizi mengineyo
2. Kanda za bongo muvi title tofauti ziko takriban seti 220 au zaidi.
3. Mabomba ya chuma yaliyofukuliwa wakati wa ukarabati/ujenzi
Nitafurahi kuwasiliana na genuine buyers only. nipigie 065 925 8932
nawasilisha