Nna bajaj mbili mbovu zimelala bila kutumika kwa muda mrefu. Zipo maeneo ya Tabata Dar es salaam
Anayehitaji kama skrepa au vyovyote vile ani PM nimwelekeze zilipo akachukue. Ni bure kabisa...
simu ni Samsung ch@t GT E2222
Ipo katika hali nzuri na ni original
.
Ina apps kama facebook, Gtalk, yahoo .Operamini. live windows massanger n.k
Bei ni Elfu 28 tu. Simu iko vizuri na haina...
Habari wana jamvi, kwa wale wanaohitaji kuhost tovuti zao kwa bei nafuu na utendaji kazi bora wa tovuti zao basi Yatosha - Professional Hosting itawafaa
500MB Dics space
60 GB Bandwidth...
Nauza tecno h6 iko vzur tu sana! Internal memory 8GB Ila iko na Crack kwenye screen pia na kwenye camera ya nyuma kidogo, ila inafanya kazi kama kwawaida pia Ina piga pictures vzur camera zote...
Tigo wamekamilisha kufunga mitambo yao ya 4G LTE ndani ya mkoa wa Dodoma.
Ushahidi huu hapa;
Hivyo basi nauza modem ya 4G mpya bei ni 85,000 fixed, (Tigo wanauza 100,000 ambazo zimefungiwa na...
Nahitaji vifungashio vya kuwekea unga wa lishe, na bidhaa zinazotokana na mimea.
Pia nahitaji mtu anayeweza kunitengenezea vibox vidogo vya sabuni.
Kwa maana kwambavifungashio ambavyo vina...
Hallo,
Pata hii External HDD 1TB(1000GB) iliyosheheni 40 TV-Series na Movie chache 100, uweze kufurahia ukiwa Safar/Mapumziko.
Wakati mwingine nyumbani unakosa hata Muda wa kuangalia hata TV...
Laptop aina ya HP Pavilion g6 imetumika miezi tisa tu.... ina intel CORE i3 processor 2.4Ghz,RAM 4GB,HDD 500GB......haina shida yeyote isipokuwa battery inahitaji kuwa replaced bei ni karibu na...
Naomba kupata recommendation ya mafundi wazuri wa finishing za kisasa, inawezekana umefanyiwa kazi nzuri na fundi fulani na unafikiria ni vizuri na wengine wapete huduma nzuri kama hiyo. Naamnisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.