Imelipiwa motor vehicle hadi 2016. Imelipiwa comprehensive insurance hadi 2016.engine cc 1990. Gari ya mwaka 1999. Ina seat 8. Ina roof mbili kwa juu zinafunguka zote.ina carie kwa juu.Namba DEW...
Nyumba nzima inapangishwa kihonda Morogoro mkabala na IDIVA
3bedroom
Kitchen
Sitting & dinning room.
Choo ndani
Maji + Umeme
Haina udalali katika ulipaji kodi. Pango kwa miezi 6
0658598946...
LAPTOP AINA YA HP PAVILION G6 IPO SOKONI KWA 350K TU INA SIFA ZIFUATAZO:
HDD: 500GB
RAM: 4GB
CPU: Intel CORE(TM)i3-3110M
PROCESSOR:2.4Ghz
Battery needs replacement. Laptop bado mpya kabisa...
Hivi viwanja vipo mjini mahala ambapo huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi sana.
UFAFANUZI NA BEI HUU HAPA.
ur Mita 35 na sm 60
up Mita 12 na sm 70
bei Mil 15
......................
ur...
Kwa wale wahitaji we mashamba Bagamoyo, sasa unaweza kupata shamba Bagamoyo,maeneo ya Kiwangwa kunakolimwa mananasi pamoja na Fukayose. Lakini pia kwa wale wanaohitaji maeneo ya Kilomo...
Habari! nauza shamba,liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa, lina ukubwa wa eka 5 linafaa kwa kilimo cha mahindi,vitunguu,alizeti na mazao mengine. bei ni 300,000 kwa eka.karibuni.
Kwa mwenye TV tajwa hapo juu,
Isiwe na tatizo lolote ,
Na unipe warranty ya MIEZI kadhaa kudhihirisha una imani Na TV yako.
Bajeti ni 160,000/=,
Pia twaweza kuzungumza.
NIPM AU WEKA NUMBER...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.