core i5 au i7 Iwe in excellent conditions ram 4gb na graphic card kuanzia 2gb na charge 3hrs minimum.
Nicheki 0688206680 bajeti laki 5 .
Nipo Dar isiwe na tatizo.
Wakuu moja kati ya simu zifuatazo HTC M7, SAMSUNG NOTE 2, IPHONE 4S zote ziwe used na zipo in good condition, mwenye simu yoyote kati ya hizo anipm au aweke contact zake
UNAIFAHAMU ANGELLIFE STYLE!!?
habari zenu wanajamvi kuna fursa nimeiona kutoka kwa angelyf style na nimependa kushare na nyie vjana wenzangu ambao tunahangaika na kutafuta ajira.ni biashara ya...
Nipo Mwanza na kama una pikipiki ziwe na hali nzuri na zinatembea unauza kwa bei hiyo .
Basi call/ text 0756 442366 or 0673 442366, kwa mawasiliano zaidi.
Zebaki au Mercury nyeupe zinapatikana, nyekundu zipo ila zinapatikana kwa taabu na ni ghali sana.
Kama unauhitaji au una mtu anahitaji.
Nicheki apa 0755 927881..!!(whassapp)
EE BWANA mimi ni mfugaji wa kuku kibamba [kuku wa mayai] nahitaji cages kwa ajili ya kuku wangu [2500]. ningependa kujua nitapata cage wapi na kwa bei gani hapa Dar hata nikipata mafundi bora wa...
KWANZA
1. acha mchepuko (a relationship is about 2ppl not the whole world)
2. acha kujichua (you damage senstive tissues)
3. acha mirungi na pombe kali
4. kula chakula bora hasa ugali wa dona...
Kutana na consultants na vipodozi bora ili uweze
1. Kufanya ngozi iwe laini na inayong'aa
2. Kuondoa chunusi
3. Kuondoa madoa na makovu mwilini
4. Kuondoa harufu mbaya mdomoni, makwapani na sehemu...
Simu Aina ya Tecno Model yake C8 inauzwa. Ni model mpya ya Tecno yenye specifications sawa kabisa na smartphone yoyote kali. Bei sh. 270,000. Ina wiki moja toka nimenunua. Dukani inauzwa sh...
nauza htc one s
specifications
internal-16gb
ram-1gb
camera-8mp
ipo kwenye good condition
bei-230,000 {230k}
mwenye huitaji anicheki tufanye biashara
0659116111
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.