MTOTO KITAA
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 245
- 116
Wakuu heshima kwenu,
Naweza kupata viti vya saloon ya kiume vya kuchonga au used? Naweza kupata kwa shilingi ngapi? Mwenye navyo aweke offer yake, mi naishi Dar.
Asanteni..
Naweza kupata viti vya saloon ya kiume vya kuchonga au used? Naweza kupata kwa shilingi ngapi? Mwenye navyo aweke offer yake, mi naishi Dar.
Asanteni..