Baada ya kufanya utafiti wa kukufanya taarifa za Makampuni nchini, nimeamua kuwaletea orodha ya Makampuni nchini kwa gharama nafuu. Orodha Ina Makampuni 20000 nchini.
List Ina business name...
Habari !! Jf members
Ninazo premium blogger templates ambazo utaweza kuondoa footer credits.. Templates hizi nazinunua kwa kazi zangu na wanaruhusu kuhost unlimited DOMAINS.
kama unahitaji...
Chumba ni master (self) Choo ndani kwa ndani ni kikubwa marumaru saafii! na sehemu ni tulivu maji yapo ya kutosha bei 150,000 maongezi ni wewe na mm mwenye nyumba, kiko poa kwa mabachelor, madada...
tembelea Swahiliform blog kwa wewe mwanafunzi kuweza kupata elimu kuhusu somo la kiswahili . katika swahiliform blog hutapata historia ya lugha ya kiswahili , fonetiki, sarufi, vipera vya fasihi...
Wadau nauza simu aina ya Tecno C5. Iko vizuri ni mpya haina miezi 2 toka dukani. Ram1gb,Rom 8gb,os 5.0 lollipop. Screen 5.5inch,.kwa anayehitaji anicheki watsap kwa namba 0768729731
Bei ni poa...
Nauza ardhi yenye ukubwa wa hekari 13 tu kwa Tshs 140/= milioni, eneo lipo Lugwadu lipatikanalo barabara ya Kongowe-Kigamboni main road lipo ktk ramani ya mipango miji, ni dakika 30 mpk 45...
Samsung Led tv 32" 570,000/=, 40" 940,000/=, 50" 1,780,000/=
LG led tv 32" 635,000/=, 43" 1,040,000/=
Projector Sony (used 47 hrs) 520,000/=
Nicheki kwa 0762589998/0772985957
karibuni
Nyumba ya vyumba 3 inapangishwa nyuma ya Philips super market,Arusha,mita 100 toka Moshi/Arusha road.
Vyumba 3,kimoja ni master bedroom
Ina sebule kubwa
Ina dinning area
Ina jiko na stoo
Ina...
Habari zenu wakuu?
Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Philips nyuma ya Philips super market,mita 100 toka Moshi/Arusha road
Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja ni master bed room(choo,bafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.