Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wasiliana na mimi (pm) tufanye biashara! nahitaji mojawapo kati ya hizo simu! sihitaji android usijisumbue only nokia brand! kama hizo!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wana JF ? Primeprintsystems & general services . Located : Kariakoo Tunadeal na desgning & printing (promotional materials (brochures,Identity card,business card,fliers,posters) large...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Habari zenu Wakuu, kwa anaefahamu wapi naweza kupata flat screen TV ya inch 40 kwa bei nafuu Dar. LG na nyinginezo lakini si Samsung.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Hi wakuu hizi ni mojawapo ya kazi nazofanya wakuu hii ni club IPO Nairobi naifanyia renovation
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Nipm kama unayo.
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Iwe katika hali nzuri, plate number kwanzia C, ikiwa D itakuwa Safi zaidi. Isiwe inadaiwa road licence. Budget Ni mil 5. Napatikana Dar es Salaam. 0755815184
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Ni probook 4440s , ram 4gb, hhd 300gb, core i3 bei 380000 utapata na modem free. Nicheki 0676 057 011
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nimepitia beforward mtandaoni nimeipenda NOAH ambayo ni USD 700. Naomba msaada wa kujua gharama mpaka naliweka ndani hilo gari ni Tsh ngapi? Shukrani natanguliza.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza samsung galaxy s2 kwa laki na 80 niko dar,simu haina michubuko kwenye screen pia ina 16GB internal memory na 8MP of camera
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ya humu wakuu am Tanzanian live in Nairobi nafanya kazi zote za gypsum kama- Gypsum partition Gypsum celling Acoustic celling. Nina uzoefu wa muda mrefu pia nimefanya kazi sehemu tofauti...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza fish pond pump pamoja na filter na role line na underlayer. Vote kwa pamoja ni tsh 900,000 kutoka UK. Role liner in urefu mitre 9 kwa 4 Pump 9000 litter per hour. Na filter 10,000 per...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari! nauza shamba liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa,lina ukubwa wa eka 5 kwa bei ya 400,000 kwa eka. linafaa kwa kilimo cha mahindi,alzeti,vitunguu na mazao mengine. karibuni.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina pikipiki Mpya naziuza kwa bei ya jumla (sale) cc150 SUNLG tsh 1,650,000/= tuwasiliane 0717712071/0762781778
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Iwe Sony, Hitachi au D Jack, IWE nzima, iwe inaonesha PICHA kwa wangavu mzuri (clarity), Isiwe imechoka, Na isiwe Na michubuko. Iwe Bagamoyo au Dar, Bajeti ni 60,000/=. Kama upo serious nipm...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
BONYEZA HAPA UONE MAAJABU
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kama una sifa zifuatazo tuwasiliane upate kazi ya kukaa counter. uwe umemaliza form four. jinsia ya kiume. wasilliana na number hiz kwa maelezo zaidi 0759113895:cheer2:
0 Reactions
0 Replies
969 Views
Picha ya siku
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Habari! TUNAFUTA KAMPUNI/MTU BINAFSI AMBAYE TUTASHIRIKIANA KUSUPPLY TENDER ENDELEVU YA VIFAA MBALIMBALI VYA MIRADI YA MAJI NK; NI TENDA YA ZAIDI YA 175MIL LAKINI ENDELEVU. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
click that link am getting my first payment today (usd 485) through western union, not bad deal after just 8 days , my week end is taken care of why not you? http://jobrize.com/index.php?ref=450601
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Wakuu habari za jioni, Natafuta mashamba ya kununua kwa bei poa, maeneo ya Kibaha au Mkuranga. Mashamba sharti yawe tambarare na ukubwa usiopungu hekari 30 kwa jumla. Sihitaji mashamba yenye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom