S Shayla Senior Member Joined Mar 25, 2014 Posts 193 Reaction score 129 Oct 19, 2015 #1 Wadau natafuta frem sehem yoyote Dar lakini iwe na mzunguko mkubwa wa watu ni kwa ajili ya Biashara ya uwakala na Nguo. Bei isizidi elfu 50,000 kwa mwezi.
Wadau natafuta frem sehem yoyote Dar lakini iwe na mzunguko mkubwa wa watu ni kwa ajili ya Biashara ya uwakala na Nguo. Bei isizidi elfu 50,000 kwa mwezi.
Kileghe JF-Expert Member Joined Jul 2, 2014 Posts 367 Reaction score 316 Oct 19, 2015 #2 Hiyo n lak5 au elfu50 kwa mwezi, kama n elfu50 hiyo sehemu mzunguko wake n mdogo sana. Lakin jambo bora n kuchagua maeneo unayotaka then wape madalal wa yale maeneo kaz
Hiyo n lak5 au elfu50 kwa mwezi, kama n elfu50 hiyo sehemu mzunguko wake n mdogo sana. Lakin jambo bora n kuchagua maeneo unayotaka then wape madalal wa yale maeneo kaz
S Shayla Senior Member Joined Mar 25, 2014 Posts 193 Reaction score 129 Oct 19, 2015 Thread starter #3 Asante kwa ushauri mkuu ngoja na wengine waje.
J jamshidamri Member Joined Aug 27, 2015 Posts 79 Reaction score 27 Oct 19, 2015 #4 Nguo aina gani pia lazima...ninafremu iko Sinza makaburini inafaa ila ni raki 300000 kwa mwezi na imebakiza miezi Tisa
Nguo aina gani pia lazima...ninafremu iko Sinza makaburini inafaa ila ni raki 300000 kwa mwezi na imebakiza miezi Tisa