Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu wana JF, Nimefungua ki-mini supermarket hivi karibuni lakini bado napata shida kidogo kununua baadhi ya vitu. Naombeni msaada wenu kwa mwenye kujua mahali nitapata maziwa ya kopo...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habari Wana Jamii Forum, Haraka Digital Printing ni Kampuni ya Kitanzania iliyosajiliwa Tanzania na kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria za Tanzania. Tunajihusisha na Kufanya designing ya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mimi Ni DALALI wa (a ) Kuuza miti iliyo tayari kupasua mbao. (b) Miti ya kuanzia mwaka 1,2,3,4,5,6,7 ya kuitunza mpaka ikiwa tayar kupasuliwa . (c) Aridhi tupu ya kupanda miti. (e) Mbao za...
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Location: Samora avenue, PPF house. Size :About 170 sqft. Contact: 0763 095182 as soon as possible kazi inatakiwa kuanza next week.
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Kwa mwenye uhitaji wa used desktops computer flat screen monitor na CPU Za IBM na HP compaq tuwasiliane kwenye whatsapp yangu 0778080031 ili tufanye Biashara. Zote ni used from USA
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninapokea oder ya maziwa kuanzia Lita 20 ni wa ng'ombe wa kienyeji nakamua mi mwenyewe hakuna maji naruhusu upime kama kuna maji napokea oda za mahotel na binafsi napatikana Kongowe . Lakini...
0 Reactions
3 Replies
973 Views
Natafuta kiwanja Goba chenye ukubwa wa meters kati ya 1500-2000.Kama kipo niambie kipo Goba sehemu gani, kina ukubwa wake halisi na bei yake hapa hapa jukwaani kabla hatujaingia PM. NB: Ukubwa...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
Waungwana nauza kitanda double decker cha chuma chini ni futi 5x6 na juu futi tatu na nusu kwa sita. Ni kizuri na imara nauza pamoja na godoro lake la juu. Bei sh. 350,000/= pungufu tunaweza...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari waungwana na wanaJF wote! Ninaomba kufahamu bei ya king'amuzi cha Startimes chenye dish. Nipo mkoani Kigoma kimatembezi. Ninataka kurudi nyumbani Rwanda nikiwa ninamilike decoder hiyo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwa masomo yote ya sekondari. Muda wa kusoma ni saa 10 jioni mpaka saa 11. Vipindi vipo mara tatu tu kwa wiki... Hivyo muda huo ni rafiki kwa wafanya kazi na watu wenye shughuli nyingi. Tupo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mamba ya usajili: T972AVZ. Engine model:4D34. Ukubwa/uwezo wa engine:cc3900, Turbo. Chasis/body: Pana na refu. Study: 6. Liko: Arusha. Bei: Maelewano. Mawasiliano:0754269641 au e-mail...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau. Nina million 5 wadau natafuta gari.
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Jipatie laptop huipendayo kwa bei nafuu kabisa inayoendana na bajeti yako Tunazo Dell,Hp,Accer,Toshiba n.k Bei kuanzia tsh 280000 Tupo Kariakoo mtaa wa Agrey Call 0653770235 Karibuni.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya forest hill,morogoro hotel au karibu na samakisamaki -kihonda.nataka nyumba ya vyumba viwili,+sebure,jiko na choo na kuaneneo la watoto kucheza BILA KUSAHAU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
16 channels aina ya Feng mpya haijawahi kutumika. Price 500,000/= Phone 0718 603278
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Ni kwamba natafuta simu yeyote yenye kuweka laini nzima sio vipisi,yenye camera ya mbele ,hizi ni sifa kubwa...ninazozihitaji...mm nipo NGARRENARO ARUSHA please kwa aliye nayo Tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Karibu kwa wataalam na washauri. Si wengine ni S&E BEAUTY SOLUTIONS, meno yako yatang'aa na kuwa meupe kabisa kuanzia wiki ya pili tu baada ya kuanza kutumia huduma yetu hii. Gharama yake ni...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Imekuwa ni changamoto kwa baadhi ya watu wanapohitaji kuagiza gari au bidhaa yoyote nje ya nchi. Hii ni kwa sababu ya kuogopa kupoteza pesa au kutokujua njia gani za kutumia. Kama wewe unahitaji...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari, Nahitaji mtu anayeweza kununua pesa za Uturuki ani PM tuzungumze.. Nina Turkish Liras 10000. Nimezunguka mjini nimekosa pa kubadilishia. Asante na Karibu!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau natafuta kujua bei ya engine VVTI kwa ajili ya rav 4 iliyofungwa D4. Naomba maoni na bei
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Back
Top Bottom