Tunainstall system automatic kwa ajili ya kumwagilia bustani unaweza pia kumwagilia bustani yako kwa remote au simu yako ya smartphone tembelea Addo T.inc au wasiliana kupitia namba 0715210298
Habari wana JF
Kama juu kichwa kinavyosema. Nahitaji used solar panel. Sema unayo ya watt ngapi na unauza shi ngapi. Namba zako pia muhimu
Nipo Dar ( Gongo LA mboto )
Wadau wa jamvi hili. Habarini za muda huu.
Ninaomba kama kuna mtu anayejua sehemu hapa Dar panapouzwa speaker za ukutani au za kwenye ceiling board hapa Dar aniambie.
Gari aina ya Toyota Vitz yenye namba CJQ inauzwa,iko kwenye hali nzuri kabisa na ina mmiliki mmoja tu tangu iliponunuliwa.Bei ni sh.5.8M ila inaongeleka,kwa yule serious buyer anicheck kwenye...
S&E BEAUTY SOLUTIONS ni wataalam na washauri wa afya, muonekano na usafi wa mwili. Wanatatua matatizo yote ya muonekano, usafi na harufu.
Tunaondoa matatizo ya
1. Chunusi
2. Vipele
3...
Interswitch, the leading integrated digital payments and commerce provider focused on Africa has today announced its entry into Tanzania and unveiled its new corporate identity. This marks a new...
Wasalaam wanabodi
Kwa takriban miezi sita nilileta ombi la kusaidiwa kupata nyumba/ chumba cha kupanga hapa Arusha. Nashukuru wadau walinisaidia na nikapata.
Sasa father house amesema...
Wadau nataka ninunue shamba maeneo haya ,,naombeni ushauri kwa aliyeshanunua.
Kuna maji ?LEVEL YA UTAPELI?sehemu nzuri ni kijiji kipi??nataka niandae makazi yangu ya kuishi huko niweke na mifugo.
Shamba linauzwa lipo Kiwangwa(Bagamoyo) lina jumla ya Ekari 20. Lipo umbali wa mita 50 tu kutoka barabara kuu ya lami ya Bagamoyo-Msata. Umeme upo, shamba lina minazi,na miti ya mikorosho,pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.