Wakuu eneo la ekari 1.5 linauzwa kerege matumbi bei mil 45 taslim katika eneo hilo kuna banda la sqm 150 lililokamilika na jingine kama hilo halijakamilika.
Pia kuna banda la sqm 55 na banda la...
Gari aina ya Vitz yenye namba CJQ inauzwa, iko kwenye hali nzuri kabisa na ina mmiliki mmoja tu tangu iliponunuliwa.Bei ni sh. 5.8M ila inaongeleka.Kwa yule serious buyer anicheck kwenye whatsaap...
Samsung Galaxy Tab 2 inauzwa ipo katika hali nzuri kabisa, ni nyeusi pamoja na cover (case) lake na charger yake vyote vipo katika hali nzuri ni kama mpya kabisa...kwa Laki Tatu na nusu (350,000)...
Ultrathin body slimmer (vibration plate) ni mashine inayosaidia:
Kupunguza unene kwa njia ya kisasa, Kata mafuta yasiyo hitajika mwilini, Punguza tumbo,pata muonekano bora, Ongeza pumzi na ufanisi...
We are sellers of Dog puppies of the following breeds ( pure breed ) PRICE IS $ 450 ( negotiable if buyer can take more than one )
we are Professional breeders of these dogs but they are imported...
Karibuni katika fursa hii isiyo ya muda mrefu katika soko la Tanzania.Ni fursa nzuri ya kutumia na kuuza kahawa nzuri isiyo na caffeine na yenye mchanganyiko wa uyoga mwekundu muhimu kabisa kwa...
Habari zenu wakuu nauza mbuzi wakienyeji kwa matumizi ya nyama au kufuga wapo mbuzi 30,bei inaanzia tsh.70000 hadi laki moja.nipo singida pia naweza kusafirisha hadi mkoa mwingine.kama upo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.