Ekari kumi hicho ni kiwanja au shamba?Pia morogoro kipo ekari 10 maeneo ya mkambarani kwa mawasiliano piga 0713449460
kama kupiga simu ni kupoteza muda je nikikuambia twende ukaone kiwanja utakwenda? au nikiweka bei hapa utalipa humu jf bila kuonana na mimi? kwanini hupendi kujiongeza hata mm 000.1 tu!Weka bei wewe wa Korogwe usitupotezee muda kukupigia