Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa wale wote wanaotaka kujipatia line za Helotel pesa (V-pesa) na kujiongezea kipato zaidi, tafadhali piga simu namba 0718371221 / 0764705712 / 0627739477 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) au...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Chumba kinapangishwa Kipo ubungo gereji, kina choo ndani, tiles, jipsom na ni kikubwa. Maji na umeme vipo na kuna parking.. usalama wa kutosha (nyumba ina get na utulivu wa kutosha), kodi ni laki...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau, Nataka kufanya biashara ya spices mbalimbali za chakula, kama hiliki, mdalasini nilikuwa naomba mnijuze wapi ntapata packages za vikopo vidogo hata kama ni Dar. Ahsanteni.
1 Reactions
4 Replies
7K Views
Hi! Kama jinsi ambavyo heading inajieleza, mimi ni mfanyabiashara wa Laptop USED. Hivyo kama kuna mtu mwenye laptop used na anahitaji kuuza, then hii itakuwa fursa nzuri kwako kufanya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bei 360k niko dar mawasiliano 0686979746
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Kiwanja kinauzwa Goba karibu na Shule ya St Joseph Millenium. Kina ukubwa wa sqmt 1527 kimepimwa ma kina Hati. Bei ni Tsh 35m Call: 0712-859537/ 0765-178494
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wa jf katika maeneo ya Gezaulole kigamboni tuna viwanja vingi ambavyo tunauza kwa bei rahisi ya millioni 5 na kuendelea kwa kutegemea na ukubwa wa viwanja hivyo mnakaribishwa kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
nauza hp laptop hdd 320 gb ram 2gb processor 2.4ghz sh 250000 contant +255 753 014 872 place ubungo, Dsm
0 Reactions
0 Replies
747 Views
Kiwanja plot.no 90 block 6 (Comercial / Residential) LOCATION:KIgamboni, SIZE: 620 sq.meter Kipo maeneo ya kwa wachina au Wakorea Kigamboni. PRICE:Tsh. Mil 60 MOB: 0718 295 182...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau natafuta walau chupa moja ya samli ya ng'ombe orijinal..anayejua wap au vp ntapata? Nipo Dar
0 Reactions
4 Replies
12K Views
ram 4gb hdd 320 processor i5 wifi hotspot bluetooth inatumia line betre 4_5 hrs size 12.5 bei 460,000 0782179882
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Natafuta chumba cha kupanda kiwe kikubwa au chumba na sebule na choo ya kujitegemea maeneo ya Mpakani, Mawasiliano, na ustawi wa Jamii . Yeyote mwenye namba za madalali tafadhali msaada.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunatoa huduma zifuatazo; - Tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita - kufundisha QT na wanafunzi wanaorudia mitihani - kufundisha wanafunzi wanaojiandaa kuingia kidato cha tano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Simu aina ya Blackberry bold 9900 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote(kasoro boksi). Inauzwa ikiwa na charger,headphones,battery kit(kifaa chake cha kuchajia battery) na CD zake. Bei ni 230,000...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
nahitaji iyo ki2 bhana. kama ipo weka bei kabsa
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Habarini za majukumu wadau ninauza sandals na simple shoes kwa bei nafuu. Mwenye uhitaji tafadhali wasiliana nami kwa namba 0756 013 050.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta contena la Kununua kwa mtu nipo Mwz. Kontena na Futi 20 mwenye nalo anayeweza niuzia anipm. Asante
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Shamba lipo umbali wa KM 15 kutoka barabara ya Dsm - Iringa na pia lipo barabarani katika barabara ya Mikumi - Kilosa katika kijiji cha Chikoga Ukubwa wa Shamba ni Ekari 45 Shamba lina...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za kazi humu ndani, Nategemea kufanya harusi muda sio mrefu, nipo njombe nahitaji vitu vya harusi kama shella,Pete,viatu,. Nauliza kwa Njombe wapi wanaazimisha au wanauza, maana...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom