Kwa wale wote wanaotaka kujipatia line za Helotel pesa (V-pesa) na kujiongezea kipato zaidi, tafadhali piga simu namba 0718371221 / 0764705712 / 0627739477 Paul Alex) au 0684666945 Edwin chapa) au...
Chumba kinapangishwa Kipo ubungo gereji, kina choo ndani, tiles, jipsom na ni kikubwa. Maji na umeme vipo na kuna parking.. usalama wa kutosha (nyumba ina get na utulivu wa kutosha), kodi ni laki...
Habari wadau,
Nataka kufanya biashara ya spices mbalimbali za chakula, kama hiliki, mdalasini nilikuwa naomba mnijuze wapi ntapata packages za vikopo vidogo hata kama ni Dar.
Ahsanteni.
Hi!
Kama jinsi ambavyo heading inajieleza, mimi ni mfanyabiashara wa Laptop USED.
Hivyo kama kuna mtu mwenye laptop used na anahitaji kuuza, then hii itakuwa fursa nzuri kwako kufanya...
Kiwanja kinauzwa Goba karibu na Shule ya St Joseph Millenium. Kina ukubwa wa sqmt 1527 kimepimwa ma kina Hati.
Bei ni Tsh 35m
Call: 0712-859537/ 0765-178494
Habari wa jf katika maeneo ya Gezaulole kigamboni tuna viwanja vingi ambavyo tunauza kwa bei rahisi ya millioni 5 na kuendelea kwa kutegemea na ukubwa wa viwanja hivyo mnakaribishwa kwa...
Natafuta chumba cha kupanda kiwe kikubwa au chumba na sebule na choo ya kujitegemea maeneo ya Mpakani, Mawasiliano, na ustawi wa Jamii .
Yeyote mwenye namba za madalali tafadhali msaada.
Tunatoa huduma zifuatazo; - Tuition kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza mpaka cha sita - kufundisha QT na wanafunzi wanaorudia mitihani - kufundisha wanafunzi wanaojiandaa kuingia kidato cha tano...
Simu aina ya Blackberry bold 9900 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote(kasoro boksi).
Inauzwa ikiwa na charger,headphones,battery kit(kifaa chake cha kuchajia battery) na CD zake.
Bei ni 230,000...
Shamba lipo umbali wa KM 15 kutoka barabara ya Dsm - Iringa na pia lipo barabarani katika barabara ya Mikumi - Kilosa katika kijiji cha Chikoga
Ukubwa wa Shamba ni Ekari 45
Shamba lina...
Habari za kazi humu ndani,
Nategemea kufanya harusi muda sio mrefu, nipo njombe nahitaji vitu vya harusi kama shella,Pete,viatu,. Nauliza kwa Njombe wapi wanaazimisha au wanauza, maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.