Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nataka gari yenye sifa hizi Haiconsume sana mafuta, Isiwe chini maana nakaa milimani Lushoto, na km kuna namna kwa hiyo hela naweza kuagiza nje. Ahsanteni
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Nauza Rav 4 namba C ya mwaka 1998
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwenye smartphone nzuri na original. Nahitaji.
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Hello guys, Natafuta mitungi ya gasi mitupu ya kampuni ya Mihan, Oryxy, cam au lake oil. Bei tutaelewana, kama unayo Please call me my number is 0718371221 au 0627739477. Thank you so much.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hallo, Nauza Jogoo wa kienyeji. Bei ni Tsh: 38,500/- unaletewa hadi ulipo kwa maeneo ya city center. Karibuni Wote. Happy New Year.
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Kama una access ya hii thread nicheck 0787419289 nipo dar
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gari inauzwa, ni ya mwaka 2004....bei ni milion 9.5, haina tatzo lolote....nichek kwa 0713806766.
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Naitaji Mashine Ya Max Malipo Au Selcom Au Anaye Jua Ofisi Zao Kwa Hapa Arusha Na Anaeuza Laini Ya M Pesa Kwa Bei Poa Arusha
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Samsung Power Bank (Capacity = 20,000 mAh) @20,000 Tshs only Bluetooth Speaker (FM & SD Card too) @20,000 Tshs only Portable Fan (with 2 Torches & Solar-powered) @20,000 Tshs only Call 0765900224
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta kiwanja eneo la changanyiken au Makongo juu. Bajeti yangu milioni 15. Pia inategemea na eneo lilivyo.
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Toyota Hilux Surf for sale. Milion 8. Good condition. Iko Iringa. Maongezi yanaruhusiwa. Call or watsapp 0622261026
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, naomba kufahamishwa wapi anapatikana Fundi mtaalamu Wa discovery kwa hapa Dar es Salaam Asanteni
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari, ninauza kiwanja kipo korogwe mtaa wa kwam'mbo karibu sana na magunga hospitali .kina msingi wa mawe wa vyumba vinne na michungwa kadhaa ,kina ukubwa wa robo heka bei ni nafuu sana. aliye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Contact 0789091791
0 Reactions
3 Replies
937 Views
Nahitaji mayai kiasi cha tray 45 kwa wiki za kuku chotara aina ya black austtalorps, white australorps, susex, rhode island red etc... Napatikana Tegeta Bahari beach Kwa mwenye nayo tuwasiliane...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tigo pesa 270k Mpesa 160k Airtel 110k 0712191251
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Hp elitebook for sell Spec Ram 4gb Hdd 320 i5 core Bluetooth Wifi 3G Size 12.5 Window 8 Betre 4-5 wahi zimebaki chache 0712191251 460,000 tu
0 Reactions
4 Replies
879 Views
Vyumba 3 na moja ni master. Sebule, jiko, sehemu ya kulia, choo cha jumuia. Ipo Changanyikeni. Kodi ni laki tano. Karibuni: 0718800909..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kichwa cha habari chahusika mwenye nayoawe tayari kwenda ofisini kwao kubadilisha majina ya umiliki wa mashine hizo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, Nahitaji mashine ya MaxMalipo, naomba msaada wa jinsi ya kuipata. Inaweza kuwa hata imetumika ila iwe kwenye hali nzuri kama mpya. Asanteni.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom