Wakuu nataka gari yenye sifa hizi
Haiconsume sana mafuta,
Isiwe chini maana nakaa milimani Lushoto,
na km kuna namna kwa hiyo hela naweza kuagiza nje.
Ahsanteni
Hello guys,
Natafuta mitungi ya gasi mitupu ya kampuni ya Mihan, Oryxy, cam au lake oil. Bei tutaelewana, kama unayo Please call me my number is 0718371221 au 0627739477.
Thank you so much.
Samsung Power Bank (Capacity = 20,000 mAh) @20,000 Tshs only
Bluetooth Speaker (FM & SD Card too) @20,000 Tshs only
Portable Fan (with 2 Torches & Solar-powered) @20,000 Tshs only
Call 0765900224
habari, ninauza kiwanja kipo korogwe mtaa wa kwam'mbo karibu sana na magunga hospitali .kina msingi wa mawe wa vyumba vinne na michungwa kadhaa ,kina ukubwa wa robo heka bei ni nafuu sana. aliye...
Nahitaji mayai kiasi cha tray 45 kwa wiki za kuku chotara aina ya black austtalorps, white australorps, susex, rhode island red etc...
Napatikana Tegeta Bahari beach
Kwa mwenye nayo tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.