Nimeleta mkaa gunia 100, hapa dar. gunia lina ujazo wa mbavu mbili almaarufu shanga mbili. ni mkaa mzuri wa mti pori.
Bei ni 45,000 kwa gunia. mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0714 407095
Heshima kwenu brothers and sisters
Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from...
Iwe chini ya 21 inches kama kuna mwenye uelewa aniambie ni brand gan nzuri, nyingi naona picture hazipo HD.
Ukinipm itakua bora zaidi, huu umeme pasua kichwa, bei iwe ya kitanzania.
Habari wadau.
Mimi ni mzalendo wa nchi hii, nataka kufungua taasisi ya kutoa mafunzo ya kompyuta kwa vijana wenzangu. Nataka nijulishwe duka ambalo linauza kompyuta used kwa bei nafuu ili...
Naomba mwenye kujua Mawakala au Maduka ya jumla ya madawa ya kilimo kwa hapa Dar.
Nahitaji dawa ya kuua Magugu yoyote nzuri Kariakoo sijaliona duka la jumla naona bei zao zipo juu sana ni km...
Habari wanajamvi, natafuta Tv 32 inches original Samsung au LG ka affordable price.
Pia natafuta housing ya Samsung Laptop NP300E5V
Nitumie Picha WhatsApp 0719579733 tunegotiate price kama...
Plot for sale at Mwananyamala A opposite Mwananyamala Hospital, Plot is 4050 Square feet, Good for Commercial and Residential buildings, all legal documents are in hands. No middleman needed...
Jipatie wine bora na salama isiyokuwa na kemikali yoyote ile kwa bei nafuu.. wine inatengenezwa Bihawana, Dodoma kwa kutumia zao la zabibu tu. Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja! Tunatuma...
habarini wakuu,viwanja vinauzwa maeneo ya mkundi karibu na zinakojengwa nyumba kwa ajili ya watumishi umma manispaa ya morogoro.,kiwanja kidogo kabisa kina square mita 575,bei ina range from 3.5m...
Imetumika miezi mitano ila bado ipo katika muonekano wa kuridhisha na istoshe haina tatizo lolote ile!
Call,text kwa maelezo zaidi au whatsapp kwa picha na nk. no:0772242688 napatikana dar es...
Husika na mada hapo juu.
Duka ni kwa ajili ya biashara ya vipodozi rejereja ila liwe na sehemu ya kuweka jokofu nje barazani
Kiwe barabarani kwenye mapito ya watu waendao kwa miguu...
0629189574
natanguliza shukran,
nahitaji frem ya biashara iwe kubwa saizi (3x3) m
mahali ni hapa dar es salaam maeneo ya tabata shule au maeneo ya karibu please assist!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.