Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo Dar ipo poa kabisa 0774102910
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Nimeibiwa laptop na simu ya iPhone natafta mganga anayepiga ramli niweze kuzipata ..tafadhali!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeleta mkaa gunia 100, hapa dar. gunia lina ujazo wa mbavu mbili almaarufu shanga mbili. ni mkaa mzuri wa mti pori. Bei ni 45,000 kwa gunia. mwenye uhitaji anaweza nicheki kwa namba 0714 407095
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima kwenu brothers and sisters Nyumba ya familia inapangishwa yombo vituka nyuma ya airport.. Maarufu kama Jet lumo ( kwa jimy " woodland pub") 3km from jk nyerere airport and 11 km from...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mini samsung inauzwa.ina HDD 250 na RAM ni 1GB .bei ni 180k.niko dar. Mawasiliano: 0686979746
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta wateja wa jumla wa mkaa walioko Dar es salaam.Mkaa unatoka mkoa wa Lindi Karibuni tuwasiliane.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Iwe chini ya 21 inches kama kuna mwenye uelewa aniambie ni brand gan nzuri, nyingi naona picture hazipo HD. Ukinipm itakua bora zaidi, huu umeme pasua kichwa, bei iwe ya kitanzania.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau. Mimi ni mzalendo wa nchi hii, nataka kufungua taasisi ya kutoa mafunzo ya kompyuta kwa vijana wenzangu. Nataka nijulishwe duka ambalo linauza kompyuta used kwa bei nafuu ili...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua Mawakala au Maduka ya jumla ya madawa ya kilimo kwa hapa Dar. Nahitaji dawa ya kuua Magugu yoyote nzuri Kariakoo sijaliona duka la jumla naona bei zao zipo juu sana ni km...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, natafuta Tv 32 inches original Samsung au LG ka affordable price. Pia natafuta housing ya Samsung Laptop NP300E5V Nitumie Picha WhatsApp 0719579733 tunegotiate price kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haijawah kufunguliw pia ina protecr ya glass ina wiki 2 tu bei 190000 pga 0714702720
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Plot for sale at Mwananyamala A opposite Mwananyamala Hospital, Plot is 4050 Square feet, Good for Commercial and Residential buildings, all legal documents are in hands. No middleman needed...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jipatie wine bora na salama isiyokuwa na kemikali yoyote ile kwa bei nafuu.. wine inatengenezwa Bihawana, Dodoma kwa kutumia zao la zabibu tu. Tunauza kwa bei ya jumla na rejareja! Tunatuma...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habarini wakuu,viwanja vinauzwa maeneo ya mkundi karibu na zinakojengwa nyumba kwa ajili ya watumishi umma manispaa ya morogoro.,kiwanja kidogo kabisa kina square mita 575,bei ina range from 3.5m...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tafadhari mwenye nayo hii au inayofanana na hii tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Imetumika miezi mitano ila bado ipo katika muonekano wa kuridhisha na istoshe haina tatizo lolote ile! Call,text kwa maelezo zaidi au whatsapp kwa picha na nk. no:0772242688 napatikana dar es...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Pata asali mbichi na kwa bei rahisi kabisa,kutoka tabora hakuna kilichoongezwa wala kupunguzwa,ni asali ya nyuki wakubwa Lita elfu 10,000 Lita 5 elfu 50,000 Wasiliana nami kupitia 0758728258
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau adapter yangu ya computer Asus imeungua.Naomba mwenye nayo aniuzie au ujuaye bei yake dukani anijuze.Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Husika na mada hapo juu. Duka ni kwa ajili ya biashara ya vipodozi rejereja ila liwe na sehemu ya kuweka jokofu nje barazani Kiwe barabarani kwenye mapito ya watu waendao kwa miguu... 0629189574
0 Reactions
0 Replies
1K Views
natanguliza shukran, nahitaji frem ya biashara iwe kubwa saizi (3x3) m mahali ni hapa dar es salaam maeneo ya tabata shule au maeneo ya karibu please assist!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom