Maeneo ni Mwenge,Sinza,Makumbusho na Kijitonyama,au eneo lolote ambalo ni rahisi kufika chuo Cha Ustawi wa jamii,bajeti ni Tsh100,000 hadi Tsh150,000,,,kiwe sehemu nzuri pia usalama uwepo,,namba...
Karibu S&E BEAUTY SOLUTIONS! Ni wataalam na washauri wa matatizo ya muonekano wa ngozi, usafi na urembo / mvuto kwa ujumla ; kwa wanawake na wanaume. Tunaondoa matatizo ya Chunusi, Mba, Michirizi...
Habari kwa Mara nyingine tena wanaukumbi. Napenda kuwajuilisha kuwa mbali na Mashine za mbao ambazo nishaziainisha katika posti iliyopita pia nipo na mipira mikubwa ya maji. Wanaoihitajia wanaweza...
Je unahitaj kutumia ipad devise yako kwa app zaid ya moja kwa wakati mmoja?sasa suluhisho limepatikana
Sasa utaweza kutumia zaidi ya app 4 kwa pamoja na kuzitumia kwa wakat mmoja na kila mmoja...
Ina km 22000,ina gear 5, haina 4wd.
Gari bado mbichii kabisa, gari hii inauzwa 8 2mln bei ya mwisho kabisa kuuza ni 7.9mln.
Kwa wale wanunuzi serious wanipigie kwa namba 0715591141 niko Dar.
Wakuu nilikuwa naomba kufahamishwa gharama za kuchimba (drilling) maji maeneo ya Goba ni bei gani na chance ya kupata Maji yasiyo na chumvi ipo?
Naomba wataalam wanisaidie
Kiwanja kinauzwa Goba msigani karibu kabisa na barabara ya lami, ni mita 100. Kimepimwa na kina hati.
Ukubwa wake ni Meter 37 x 20
Bei ni Milioni 40
PM if you are interested
Nauza viwanja vyenye ukubwa wa futi 55 kwa 42, vipo Nyeburu ni katikati ya Gongo la Mboto na Chanika na umbali toka barabara ya lami (main road) ni 0.7 km. Kuna umeme na huduma za kijamii, namba...
Wadau nauza Rims na Tairi zake za BMW X5 ni Size 19" Pamoja na Taa za mbele na nyuma Complete. Vyote ni kama vipya bei chee. Rims 4 na Tairi 4. nauza 1300000. Taa zote mbele na nyuma Complete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.