Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nipo Dar Kitunda tuwasiliane 0714679434 ni mtr cg. Wakuu nashindwa ku attach photo tu njoo whats app nikutimie picha.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Simu imetumika miezi 6 haina tatizo lolote na haijawahi kufika kwa fundi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo natafuta simu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nayo tuwasiliane tufanye biashara namba yangu 0656072553
0 Reactions
0 Replies
926 Views
UMEMALIZA MASOMO NA UNAHITAJI AJIRA.? JE WEWE NI MUAJIRI/MUAJIRIWA NA UNAHITAJI KIPATO CHA ZIADA..? GEUZA Account zako za Facebook/ twitter/instagram/google+ KUWA PESA. TENGENEZA PESA SASA KUPITIA...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
Gari toyota rav4 ya milango mitatu inauzwa ni auto namba b kama inavyoonekana, bei mil 6 kwa mawasiliano zaidi 0712361699
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu natafuta line ya tigo pesa nipo tanga
0 Reactions
2 Replies
867 Views
Habari wana jf, Nahitaji gari haraka kabla ya mwaka moya Toyota Carina Ti Kati ya namba C na D. Mwenye Nayo tuwasiliane Mimi nipo Dar.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wote mnakaribishwa kwa washauri wa matatizo ya muonekano wa ngozi, usafi na harufu ya Mdomoni na Makwapani. Tunaondoa matatizo ya Chunusi, Mba, Michirizi, Makunyanzi, Harufu Mbaya Mdomoni na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau naHitaji BMW X6 ya kukodi kwa ajili ya harusi..0656624444
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nauza maembe ya viringe na maembe tanga Yale makubwa ?nauza kwa gunia
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kina Ujazo wa Sqmt 1111, kipo Maeneo ya Buyuni Ilala. Kina miundo mbinu yote papo hapo, barabara na Nguzo ya Umeme. Pia pembe za kulia na kushoto kimezungukwa na nyumba za Mradi za PSPF...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chumba master na sebule.. jiko na choo cha public.. maeneo ya kinondon mkwajuni.. kimebaki kimoja kati ya vitatu ndo kinamaliziwa kupakwa rangi.. kama unahitaji nichek 0713 799 522
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza tecno h6 imetumika miezi minne haina tatizo lolote bei ni laki MOJA nipo mwanza
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni viatu vya mtumba grade a unapata kwa bei ya 35000 viatu vya ukweli...naatach picha.nipm kwa mawasiliano au whatsaap me 0767626990.kwa picha na mawasiliano
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji Vitz Kali namba C na isizidi mileage laki moja kama unayo taja ofa na nipe picha. Pia hata kama una passo no D sio mbaya. Njoo inbox.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
PayForYouth.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
0 Reactions
4 Replies
4K Views
The phone is on sale check me through 0686-156550 or 0767-600560
0 Reactions
20 Replies
3K Views
nauza ipad ipo in good condition bei 370000 mwenye uitaji anichek no. 0659116111
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom