Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hp elitebook for sell Spec Ram 4gb Hdd 320 i5 core Bluetooth Wifi 3G Size 12.5 Window 8 Betre 4-5 wahi zimebaki chache 0712191251 460,000 tu
0 Reactions
2 Replies
842 Views
asalaam wana Jamii natafuta nyumba maeneo ya Ilala kodi iwe kati ya 150,000 na 200,000 Nina kodi ya miezi 8 iwe na viumba viwili na jiko umeme wa kujitegemea na maji yoyote aliyekua anayo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unazijua copy ambazo huwezi kuzitofautisha na Samsung Note 4? Ninayo moja mpyaaa, nyeupe, nzito na yenye Specs zilizoshiba, inaenda kwa Laki 3 tu. Call 0653257566
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa chidachi east-dodoma kwa mawasiliano 0769054296
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Hey guys kama una meza za office mbili please wasiliana nami kwa namba 0718371221/ 0627739477 nahitaji kununua. Thank you so much.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ni pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Two in one design; kuna master moja na single moja, dining, sitingroom, kitchen na public toilet. Ukubwa wa 12M x14M inafiti katika plot ya 20x20M, design nzuri kwa kupangisha. Kwa matumizi...
5 Reactions
26 Replies
7K Views
Habari? Mimi ni mfanyabiashara wa kusambaza maziwa ya Tanga Fresh hapa Dar es Salaam. Kwa sasa nimepata route mpya ya kusambaza maziwa tajwa hivyo nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia shughuli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nina 70000/= nipo dsm,ni pm.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
nauza moto g iko kwenye ubora wake haina tatizo hata 1 ina android lollipop kwa 180000' maongezi yapo' karibu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau...natumaini mu wazima wa afya... Nilikua na uhitaji wa kito cha blue sapphire ambayo INA Pete yake either silver ama dhahabu. Mwenye ufaham ama usaidizi wa kuzipata ama wapi manunuzi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nyumba ambayo haijaisha nauza .ipo charambe nzasa .bei ni makumaliano .ina vyumba vitatu .na uwanja mkumbwa .kwa yeyote anayeitaji .tuwasliane whatsaap 0713 95 92 90 ,0685 65 55 35
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Ninataka gari ambayo haitumii sana mafuta ,isiwe chini sana maana nipo Lushoto kwenye milima ,spea rahisi,naombeni msaada au kama naweza agiza nje kwa hiyo hela wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ram 2Gb Hdd 320 Processor 1.60 Wifi BLUETOOTH 3G Bettre 4-5 hrs HDMI port Web camera Bei nzuri 360, 000 0712191251
0 Reactions
0 Replies
781 Views
koti size ya model jeusi bei 20000 tu inbox kwa anqelitaka ni koti kama anayovaaga guadiola kocha wa zaman wa klabu bingwa dunian barcelona
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu wanajukwaaa, heshima kwenu! Kwa muda sasa nimekuwa ninajiuliza maana ya haya matangazo ya vifo kwenye radio haswa kwa nyakati hizi ambazo teknolojia ya mawasiliano imeboreshwa kwa kiasi...
0 Reactions
80 Replies
12K Views
Kajumba kazuri chumba kimoja cha kulala with self toilet, sitting room kubwa, jiko zuri, mahali pa kufulia na veranda kwa ajili ya kuanikia nguo, eneo salama kabisa kando ya barabara Tabata...
1 Reactions
0 Replies
936 Views
Ps3 superslim inauzwa bado ni mpya na iko bomba sana katika box lake.... Unapewa; wireless pad moja.. Usb pad moja.. Cd games 4(fifa15 hii nimenunua mcity laki na nusu,max payne 3,street...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
LIPO DAR HATA MKOANI LITATUMWA INBOX OR CALL 0712505049
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom