Nahitaji gari raum au toyota probox

Nahitaji gari raum au toyota probox

Marire

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2012
Posts
12,333
Reaction score
5,314
wakuu mwenye kuuza hizo gari tuwasiliane offer yangu 5m ila iwe kwenye hali nzuri na iwe imelipiwa sitika zote
nipo dar

0687404226
 
walitaka kunitapeli wakakuta mimi mwana jf GT ila wamepoteza tu muda wangu na kukodi bajaji toka mawasiliano hadi kinondoni makaburini ..
 
sijapati gari hadi saa hii
 
sijapati gari hadi saa hii
Pole mkuu ila ungefika pale catalunya kuna magari mengi sana unaweza kupata ya namna hiyo ongea na madalali kuna kijana anaitwa mapunda ni mtu poa anaweza kukupa msaada kufanikisha hilo.
 
walitaka kunitapeli wakakuta mimi mwana jf GT ila wamepoteza tu muda wangu na kukodi bajaji toka mawasiliano hadi kinondoni makaburini ..
mkuu hebu funguka ilikuaje ili na wengine ambao tuna mpango wa kununua gari za mkononi tupate mwanga kidogo
 
wakuu mwenye kuuza hizo gari tuwasiliane offer yangu 5m ila iwe kwenye hali nzuri na iwe imelipiwa sitika zote
nipo dar

0687404226

Kwa probox unaweza kuagiza mwenyewe kama budget yako ndio hiyo. Hizo gari ni 400$.
 
Unataka gari ya kununua au ya kulenga?

Ovaaaa
 
Raum New model.. 12.5 mil... CFU.. in very good condition, sporty tires and rims, lifted, and shiny looking.. haipungui kitu
 
Kwa probox unaweza kuagiza mwenyewe kama budget yako ndio hiyo. Hizo gari ni 400$.
Hiyo $400 ni FOB au CIF maana unaweza kuta FOB ni $400 ila ukakuta gharama zote ni $1500.

Ni bora kuwa makini sana!!
Pia kuwa makini na magari ya bei nafuu hususani yanayouzwa kwenye mitandao,unaweza nunua na ukakuta ni mkweche
 
Kwa probox unaweza kuagiza mwenyewe kama budget yako ndio hiyo. Hizo gari ni 400$.
Usiichukulie poa probox na wala usimdanganye akaagiza kwa bajeti yake ya 5m atalikimbia bandarini!
 
wakuu mwenye kuuza hizo gari tuwasiliane offer yangu 5m ila iwe kwenye hali nzuri na iwe imelipiwa sitika zote
nipo dar

0687404226
hivi mtu anawezaje kutaka gari ili ktk hali nzuri kwa bajeti ya 5m?!ushauri wangu,kwa bei hyo utapata raum old model na ukiipata ichunguze kwa makini sana!kwa probox bei hyo ndo hupati kabisaa na ukiipata nenda na fundi wa bodi na injini aikague vzr ukijiridhisha ibebe mwanawanawe!ila km unatakagari ngumu ya kazi probox inakuhusu!
 
Kwa ushauri tu..Mtu yeyote aneihitaji Gari ni bora kuagiza tu...Kama budget haitoshi ni vizuri ukasubiri kuliko kuingizwa mkenge ukauziwa magari mabovu au ya wizi...
 
Kwa ushauri tu..Mtu yeyote aneihitaji Gari ni bora kuagiza tu...Kama budget haitoshi ni vizuri ukasubiri kuliko kuingizwa mkenge ukauziwa magari mabovu au ya wizi...
Usikariri wewe mm nishauza magari safi kbs
 
Hiyo $400 ni FOB au CIF maana unaweza kuta FOB ni $400 ila ukakuta gharama zote ni $1500.

Ni bora kuwa makini sana!!
Pia kuwa makini na magari ya bei nafuu hususani yanayouzwa kwenye mitandao,unaweza nunua na ukakuta ni mkweche

Mtu anayetaka gari ya milioni tano ni obvious anataka mkweche
 
Mkuu hiyo catalunya kwa watu wa mikoani ni ngumu kufahamu,unaweza kuelezea sehemu ilipo ndani ya jiji?Na jinsi ya kuweza kuepukana na matapeli Kobe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom