Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
Kama unahitaji kuagiza gari au bidhaa nyingine toka nje ya nchi na huwezi wewe mwenyewe basi kuna kampuni maalumu ya kutumia kuagiza bidhaa zako nao utawalipa commission, wapo Nyerere road Dar es...
Ni kwa mnunuzi anaye hitaji tani 1 na kuendelea
Bei ni tshs.370/kg kwa mtama mwekundu
tshs.470/kg kwa mtama mweupe
Magari ya mizigo kutoka kanda ya ziwa,Rwanda,Congo mashariki, Burundi...
husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji kununua steshrnari iliyokuwa tayari ina operate.
Mahitaji.
iwe eneo zuri la kibiashara jiran na shule au vyuo au maofisi.
bei tutajumlishiana vifaa...
Habari wakuu nahitaji modem aina ya huawei e303 ile ya kutumia dash-bord ya HI-LINK siitaki maana ama kama unayo iliyochakachuliwa niweze kutumia mitandao yote pia nitashukuru.
Offer yangu ni...
Ni nyumba kubwa na ya kisasa ipo nyegezi chuo cha SAUT ina vyumba 4,sitting kubwa 2,dinning na jiko 1,choo na bafu.bado madirisha na milango umeme na maji yako.kwa anaehitaji bei ni milion...
Habari.
Nauza vitu tajwa hapo juu.decoder ziko mbili na bei ni 70,000/= kwa kila moja.samsung LED tv kwa 360k na samsung mini laptop kwa 180k.karibuni.0686979746
habari
natafuta kiwanja chenye
ukubwa wa kuanzia 400sqm
kwa bei isiyozidi 5m
maeneo ya kinyerezi, mbezi, tegeta, kiluvya, kibamba,gongo la mboto na kimara,
wasiliana nami kwa 0755371297 na...
Habri wanaJF, refer kichwa cha habari hapo juu. Nategeneza bure kabsa website kama unaitaji usisite kuniPM. Kama upo tayari andaa vitu vya kuweka kwenye website yako.
Asanten...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.