Wanajamii nawasalimu.
Kiwanja chenye ukubwa wa square metre 176 kinauzwa maeneo ya KEKO magurumbasi A karibu na KEKO Madawa.
Kiwanja kina hati miliki halali.
Ukubwa wa kiwanja unaweza kujenga...
VIWANJA NYENYE SIZE TOFAUTI TOFAUTI SASA ZINAPATIKANA CHAMAZI - MBANDE BEI NI MAELEWANO NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO.KUTEMBELEA NI BURE NA WAKATI WOWOTE....ENEO LIMEPIMWA IKO ENEO PLAT KABISA...
Ng'ombe jike wawili wanauzwa.Mmoja ana ndama wa miezi miwili (alipandishwa kwa chupa -AI),mwingine ana mimba anatarajiwa kuzaa Februari 2016 alipandishwa kwa (AI) naye.Pia bata mzinga na...
Nauza plot au viwanja Kigamboni dege nyuma ya magorofa ya NSSF viko viwili kimoja ni 30 kwa 26 bei million 7 kingine ni 30 kwa 40 bei million 7 na heka 1 bei million 23 nna shida zangu kibiashara...
I'm looking for a 1 bedroom furnished house/studio/apartment for short term (1 month) rental in Dar es salaam for immediate occupancy.My budget is Tshs 500,000/= per month
Please inbox me if you...
Habari wanaJF, natafuta watu niliwaolozesha hapo juu kwa kuwatangazia kwenye website free kwa mwaka huu wote, nimengeneza website ambayo itarahisha mchakato mzima wa mambo ya harusi na seminar kwa...
Salaam bandugu, jamaa na marafiki.
Kuna matunda aina hiyo kwenye "title" yanapatikana kwa wingi wa tani 30. Ni yale brown passions kama yanavyoonekana kwenye picha chini. Tunapatikana Sinza "A,"...
Nyumba ina vyumba viwili, sebule Jiko, Choo, maji ya kutosha mpaka ndani, LUKU yako, Ipo ndani ya uzio na ipo kwenye compound (means upande) bei ni 350,000/ kwa mwezi maongezi yapo,
Pia nyumba...
Properties:
- Made in 2001
- 8000 km
- Registered
- No encumbrances
- It use petrol
Price: 25,000,000 Tsh
Contact us on:
Email: anjoa_limited@yahoo.com
Tell: +255688568755 or 0759692024
Pikipiki Pasola kubwa Inauzwa ,Used na haina tatizo lolote
Price:tsh. laki 6 na nusu (tsh.650,000)
Location:dar es salaam
Mob:+255 7182 95 182
email:emfodot@gmail.com
Used na haina tatizo lolote
nina nyumba nimejenga maeneo ya kivule bado finishing dogo ndogo nimeishiwa hela namtafuta mtu ama taasisi niweze kupata hati ya umiliki kisha nichukue mkopo benki au niiuze ambapo baada ya hapo...
Tafadhari rejea kichwa cha habari wakuu nauza flemu ya Duka ikiwa na baadh ya vitu pamoja na freezer mzani na kadharika IPO mwananyamala majuju karibu na barabara iendayo makumbusho bei nikuanzia...
Habari za week end wakuu,
Ninauza quality oficial picture ya Mh Raisi JPM,
Picha hizi ni mahsusi kwa maofisini na hata majumbani pia.
Ukubwa wa picha ni 50×60cm,
Bei ya picha moja ni Tsh 75,000/=...
TANGAZA MARKETING SOLUTIONS:
Mahitaji: Hostel ya kisasa kwa Wanafunzi na Wafanyakazi elfu 80,000/= per month
Kodi mwaka mpaka miezi 6
Full A/c, Dstv
Karibu sanaaaaa...
Natafuta kiwanja mbweni kiwe kina hati, kiwe tambarale na kiwe na ukubwa wa minimum 1000sqm.Whatsapp 0685085378. Budget yangu ni 30m. ukituma na picha itapendeza zaidi kabla ya kwenda kukiangalia...