Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba (tafadhali tazama picha) iliyoanza kujengwa inauzwa. Iko Goba Tegeta A, au Kwa Bedui. Kiwanja ukubwa wake ni 50 by 26. Inauzwa 37m. Serious buyer contact 0755 092 734.. 0754 810853
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hii sim imetumika wiki tuu sasa tangu kununuliwa ni original, 32GB na ina 3GB ram camera 16Mpx na ina record video 4K ina heart beat rate monitor (built in) na specification zingine kibao ppiga...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Viwanja viko mbezi mpiji magoe ukubwa kuanzia 22x20 bei 4.5milion. Viko kandokando mwa barabara ya mbezi kwenda mpiji magoe. Huduma muhimu kama maji, umeme, hospital na shule zinapatikana. Kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, nauza Kiwanja change chenye ukubwa wa 35x45 mita, kimepimwa na manispaa ya morogoro, kina ofa. Nauza kwa bei ya tsh 10M haipungui. Eneo lipo kihonda Kilimanjaro ( karibu na eneo...
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Nimepewa jukumu la kutafuta nyumba kadhaa Geita zenye sifa zifuatazo kwa ajili ya kupanga: 1. Yenye walau vyumba 2-3 2. Lazima kuwe na 2 bathrooms 3. Fence na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Viwanja vipo Kilometer1.2 kutoka stedi ya daladala ya Goba. Viwanja vimepimwa kama ifuatavyo:-- Ukubwa 20M×20M (SQM 400)-Bei 10Milioni Ukubwa 20M×40M (SQM 800)-Bei 20Milioni Ukubwa 30M×40M (SQM...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Jipatie domain kwa Tshs 18000 tu, .com .org etc, nipigie 0652740927, vile vile kama unahitaji adsense account waweza nicheki.
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Jamani wadau nauliza sehemu ambapo inapatikana vifusi vya lami kama mabaki ya barabara ya lami baada ya kukwanguliwa either kwa kukosewa kujengwa (chini ya ubora) au kufikia maximum life span...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Simu used aina ya Samsung S5 inauzwa bei poa mwenyewe ana sshida ya haraka kwa anaetaka wasiliana kwa namba 0675424112.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau salaam...nauza Note 4 yangu.Nimeitumia vizuro so ni almost new.32gb.Bei laki 6.Karibuni.Kwamasiliano no 0689900000.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadahu naita iyo gari namba D Bajeti mill 9 nakuendelea kulingana nagari litakavyo onekana nipo dar es salaam simu 0712690760 whatsapp tuma picha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza CRV Honda ya mwaka 1999, rangi ya dark blue. Ipo Arusha ni nzima ina insurance na road licence mpaka July.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Waungwana nahitaji laptop Nzuri USED yenye minimum specs Corei5 iwe clim 14'' abayo iko kwenye hali nzuri second hand kutoka nje. kama kua anaejua wapi naweza pata huko Dar Merci mingi
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kina hati na kina ukubwa wa Sq metre 1,516. Bei ni 22.5 million . Pia mazungumzo yapo. Karibu sana 0718 385 553
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar zenu naomben mnisaidie kuniambia review class kwa ajili ya ATEC I & II ikiwepo maeneo ya posta,kariakoo ndo itakuwa fresh zaidi. Tafadhali nisaidien. Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Hop
0 Reactions
1 Replies
617 Views
Kwa maelezo ya kina, simu zetu na anwani tembelea tovuti yetu: www.tepu.co.tz Ofisi kuu yetu iko katika jengo la Tepu House, Uganda Road, Kiwanja Na.45 kitalu MDA, Manispaa ya Bukoba. Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JF, Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya mambo yahusuyo masuala ya biashara,humu tutapeana mbinu mbalimbali za kibiashara ili uweze kufanikiwa na kuifanya biashara yako kuwa imara na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
COMBINE HARVESTER INAUNZWA Tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (COMBINE HARVESTER) ipo imara sana na inafaa sana kwa mazingira ya hapa kwetu, inaweza kuishi muda mrefu na ni simple sana...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei ni maelewano tu, inahitaji marekebisho kidogo. simu 0755280216. Whtasaap 0764646211.
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Back
Top Bottom