Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunauza ream paper rotatrim mondi kwa sh. 6500 kwa ream moja. Carton moja ambayo ina ream tano tunauza kwa sh 32,000 tu. Changamkia fursa hii haraka, tunapatikana hotel mabibo. Karibuni sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tupo Mbeya tuna deal na marembo ya nyumba kama sehemu za madirisha ,milango , nguzo za nyumba. Kwenye beam la kwenye varanda na sehem zingine nying ambazo zina weza zika wekewa marembo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu! Poleni kwa majukumu mbalimbali! Niko ubungo Dar es Salaam! Nilikuwa naomba kujuzwa wapi naweza pata maji safi na salama kwa matumizi ya nyumbani(si yale ya akina bakhresa) na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wana jukwaa, Ninahitaji kununua vifaa vifuatavyo, 1.Plastic Measuring cylinder(10L,250l,300L) 2.Long wet sieves 3.DO and pH meter 4.1L transparent plastic bucket...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Vyumba viwili kimoja ni master bedroom, sebule, jiko, choo na dinning! Pia parking ya kutosha na eneo la kubwa la kutosha ndani ya fence! 0717569086 nichek fasta!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tigo pesa 200,000 Airtel money 70,000
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Sample ndo Kama hii , Kwa anaejua garden kubwa ya Maua Dar au ua hilo linapopatikana nipe details please Jina lake ni Anthorium
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Kabati kubwa la vyombo linauzwa limetumika miezi mitatu tu.Bei inaanzia laki mbili maongezi yapo.Kama uko interested ni pm.Thanks
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Gari inauzwa, ni ya mwaka 2004....bei ni milion 9. Haina tatzo lolote.. Nichek kwa 0713806766.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viwanja viko kibamba shule ukubwa kuanzia Mita 20*20 bei 4.5milion bei inaongezeka Kulingana na ukubwa, vyote vinafikika kwa barabara, huduma Za umeme na maji zinapatikana. Kwa taarifa zaidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa mahitaji ya mafundi waliobobea katika maswala ya gypsum celling partition skimming painting call +255742556656 whatsapp +254717609960 npo dar kwa mda tu
0 Reactions
0 Replies
788 Views
20*20 vinauzwa 2.8m ila mnunuzi anaongea pia.Maji na mchanga vinapatikana kwa urahisi pia
0 Reactions
1 Replies
2K Views
new 2015, full hd, 2usb port, 2hdmi, 2AV in price 520000/-
0 Reactions
1 Replies
948 Views
Cancelled
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Jiunge na biashara ya kimataifa. Tunauza vitabu na kukuwezesha kuanza biashara kwa mtaji mdogo tu wa Tsh 40,000. Four Corners Alliance Group | Building A Secure Business Together 0713823702
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji fundi wa kutengeneza machine yangu ambayo inafanya kazi 3 Photocopy, Printing na scanning. Machine ni Canon MG 2440 Kama yupo tuwasiliane kwa namba 0767262530.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wale wapiga picha wa events mbali mbali hii inawafaa sana, ni mpya na iko na lenzi yake Bei ni 1.4 mil
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota aliteza 2002 mwaka 1890 cc Km 55478 6cylinder Ina hitaji hela haraka Bei 9m maongez yako 0656436662 Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Inatakiwa Toyota Raum new model, budget shilling 7 million. Kama unayo tuwasiliane kwa sifa na taarifa zaidi.
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Back
Top Bottom