Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro

Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro

Nkuba25

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
2,386
Reaction score
13,133
Habari wana Bodi

Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro.

Yapo 2 km kutoka barabara kuu.

Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1.

Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872

Asante
 
Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini?
Mkuu habari.

Haya Mashamba hayapo kwenye orodha hiyo. Na kabla ya kununua utaweza kujiridhisha.
 
umiliki wake ukoje? yana hati? eneo yalipo karibu na makazi ya watu au
Mkuu habari.

Haya Mashamba hayana hati.

Ndio yapo karibu na makazi ya watu.
 
Kuweni makini kuna mashamba ambayo hayajaendelezwa mda mrefu serikali inayachukua sasa kaeni chonjo
 
Ekari 17 Wami Luhindo karibu na mto. Bei tsh 800,000 ekari moja. Serious buyer private mail.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom