Nkuba25 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,386 Reaction score 13,133 Feb 29, 2016 #1 Habari wana Bodi Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro. Yapo 2 km kutoka barabara kuu. Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1. Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872 Asante
Habari wana Bodi Kuna Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro. Yapo 2 km kutoka barabara kuu. Bei: Laki saba (700,000) kwa ekari 1. Tuwasiliane kwenye PM na 0767 836 872 Asante
Mr Hero JF-Expert Member Joined Jun 11, 2015 Posts 5,540 Reaction score 7,464 Feb 29, 2016 #2 umiliki wake ukoje? yana hati? eneo yalipo karibu na makazi ya watu au
S Sometimes JF-Expert Member Joined Dec 28, 2010 Posts 4,536 Reaction score 1,137 Feb 29, 2016 #3 Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini?
M maiye JF-Expert Member Joined Dec 16, 2013 Posts 1,175 Reaction score 2,088 Feb 29, 2016 #4 Sometimes said: Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini? Click to expand... Swali zuri sana hili!
Sometimes said: Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini? Click to expand... Swali zuri sana hili!
Nkuba25 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,386 Reaction score 13,133 Mar 3, 2016 Thread starter #5 Sometimes said: Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini? Click to expand... Mkuu habari. Haya Mashamba hayapo kwenye orodha hiyo. Na kabla ya kununua utaweza kujiridhisha.
Sometimes said: Hayo mashamba hayapo kwenye orodha ya kurudishwa serikalini? Click to expand... Mkuu habari. Haya Mashamba hayapo kwenye orodha hiyo. Na kabla ya kununua utaweza kujiridhisha.
Nkuba25 JF-Expert Member Joined Nov 18, 2015 Posts 2,386 Reaction score 13,133 Mar 3, 2016 Thread starter #6 Mr Hero said: umiliki wake ukoje? yana hati? eneo yalipo karibu na makazi ya watu au Click to expand... Mkuu habari. Haya Mashamba hayana hati. Ndio yapo karibu na makazi ya watu.
Mr Hero said: umiliki wake ukoje? yana hati? eneo yalipo karibu na makazi ya watu au Click to expand... Mkuu habari. Haya Mashamba hayana hati. Ndio yapo karibu na makazi ya watu.
K king90 JF-Expert Member Joined Apr 18, 2014 Posts 368 Reaction score 221 Mar 3, 2016 #7 Kuweni makini kuna mashamba ambayo hayajaendelezwa mda mrefu serikali inayachukua sasa kaeni chonjo
simplemind JF-Expert Member Joined Apr 10, 2009 Posts 16,760 Reaction score 9,667 Mar 3, 2016 #8 Ekari 17 Wami Luhindo karibu na mto. Bei tsh 800,000 ekari moja. Serious buyer private mail.