SANGA ONE Senior Member Jul 7, 2012 125 28 Mar 3, 2016 #1 Habari za mchana wakubwa, Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million. Asante na karibu kwa kuchangia kama huna neno please pita kimya kimya.
Habari za mchana wakubwa, Moja kwa moja niende kwenye mada.Nahitaji toyota mark x namba yoyote ile hata A kikubwa iwe katika hali nzuri.Bajeti yangu 8million. Asante na karibu kwa kuchangia kama huna neno please pita kimya kimya.