Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau nauza laptop ipo kwenye hali nzuri ila inatakiwa kubadilisha kioo Pamoja na mlango wa cd *specifications * HDD 320 PROCESSOR 2.1 CORE I5 RAM 6GB BEI 280000
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Pazia Pazia Pazia Meter moja 25,000 Lililoshonwa tayari 1.5m upanax3murefu=42,000 Karibuni Tabata Kimanga Mteja unaletewa ulipo its free delivery Call now/whatsap now 0769633450/0713691101
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninauza kiwanja Mbezi Maramba mawili mtaa wa Mzalendo Kiwanja kipo sehemu nzuri yaani barabara ya mtaa (yaani center ya mtaa), nguzo ya umeme ipo kiwanjani. Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wapendwa!....natafuta mtu anayetengeneza au anayejua mtengenezaji Wa vinu,miko na nyungo....nataka kwa bei ya jumla .....kama yupo au unamfahamu naomba tuwasiliane kwa namba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta CPU used iwe hali nzuri. Vigezo: 4gb RAM,150gb HD or more iwe na HDMI port. Dau langu 120,000.
0 Reactions
1 Replies
740 Views
0713691101
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Eneo linauzwa haraka,Lipo Kinzudi Goba, Ukubwa- 9,276square metres, Kimepimwa, Kuna nyumba kubwa ambayo haikumalizika yenye umeme na Kisima cha maji ya chumvi, Bei yake kila kitu ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tank ni Lita 5000 pamoja na stannd yake ambayo ni chuma ndefu kuzidi urefu wa nyumba, bei pamoja ni 1,500,000 kama unahitaji vyote nichek kwa 0713415537
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Kiwanja kipo katika hali nzuri mno ni maeneo yaliyopimwa na hati ya kiwanja ipo.Kiwanja kina ukubwa wa wa mita za mraba 963. Hakuna dalali. Bei 7m pia kuna maongezi kidooooogo.0713691101
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nauza king'amuzi cha startimes kwa 70000 tu hakipungui. Aliye serious tu anitafute. 0716013287. Nipo Kimara
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ipo maeneo ya airport. Ina vyumba vinne na sehemu ya kufanyia biashara vyumba vinne vya frem.
0 Reactions
7 Replies
891 Views
Mzigo upo dukani
0 Reactions
2 Replies
1K Views
shamba hekari tano linauzwa chamwino ikulu ni eneo zuri ambalo kuna bbadhi ya viongozi wa juu wamewekeza bei ni millioni 9... maongezi yapo.0625648906
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa iko magomeni kondoa-Dsm, karibu na makanya kwa Bonge. Ipo mtaa wa Lalago.karibu kabisa na LAVISTA hotel. Ina vyumba 3 na vyoo viwili, Chumba kimoja ni Master(kubwa). Panapitika...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ipo maeneo ya mbezi msakuzi ila haijamalizika imefikia kwenye linta. Kwa maelezo zaidi ni pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa, Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane...
1 Reactions
0 Replies
995 Views
wadau naulizia hivi hii machine ya kutengeneza ice cream soft sever inauzwa bei gani dukani
2 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom