Wadau nauza laptop ipo kwenye hali nzuri ila inatakiwa kubadilisha kioo
Pamoja na mlango wa cd
*specifications *
HDD 320
PROCESSOR 2.1 CORE I5
RAM 6GB
BEI 280000
Ninauza kiwanja Mbezi Maramba mawili mtaa wa Mzalendo
Kiwanja kipo sehemu nzuri yaani barabara ya mtaa (yaani center ya mtaa), nguzo ya umeme ipo kiwanjani.
Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya...
Habarini za asubuhi wapendwa!....natafuta mtu anayetengeneza au anayejua mtengenezaji Wa vinu,miko na nyungo....nataka kwa bei ya jumla .....kama yupo au unamfahamu naomba tuwasiliane kwa namba...
Iwe vyumba yenye vyumba vya kulala visivyopungua vitatu, iwe imejengwa katika kiwanja ambacho kimepimwa na kina hati miliki, bei yake isizidi tshs100mil. Natarajia kupigiwa simu na mmiliki wa...
Eneo linauzwa haraka,Lipo Kinzudi Goba,
Ukubwa- 9,276square metres,
Kimepimwa,
Kuna nyumba kubwa ambayo haikumalizika yenye umeme na Kisima cha maji ya chumvi,
Bei yake kila kitu ni...
Tank ni Lita 5000 pamoja na stannd yake ambayo ni chuma ndefu kuzidi urefu wa nyumba, bei pamoja ni 1,500,000 kama unahitaji vyote nichek kwa 0713415537
Kiwanja kipo katika hali nzuri mno ni maeneo yaliyopimwa na hati ya kiwanja ipo.Kiwanja kina ukubwa wa wa mita za mraba 963.
Hakuna dalali. Bei 7m pia kuna maongezi kidooooogo.0713691101
Nyumba inauzwa iko magomeni kondoa-Dsm, karibu na makanya kwa Bonge. Ipo mtaa wa Lalago.karibu kabisa na LAVISTA hotel.
Ina vyumba 3 na vyoo viwili, Chumba kimoja ni Master(kubwa). Panapitika...
Wapendwa,
Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.