Msaada:Natafuta jina la kifaa hiki cha umeme

Msaada:Natafuta jina la kifaa hiki cha umeme

Private-eye

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2013
Posts
1,069
Reaction score
1,211
Salaam wanajukwaa....natafta kifaa cha umeme ila sikijui jina lake...nitaeleza kazi yake kisha mnaojua naomba mnijuze jina lake na kama inawezekana...wapi naweza kukipata kwa dsm.

Kifaa hiki hufungwa baada ya mita ya tanesco na wakati mwingine hata baada ya main switch. Kwa vyovyote vile kifaa hiki hufungwa kabla ya nyaya za kusambaza umeme ndani ya nyumba.

Kazi yake kubwa ni kuzima umeme pale ambapo mtu ndani ya nyumba atawasha kifaa kinachotumia/ au kuvuta umeme mwingi kwa mara moja...mfano hita au jiko la umeme.

Kifaa kitazima umeme...hivyo kulazimika kwenda kuwasha tena. Nia hasa ni kudhibiti matumiz ya vifaa vinavokula umeme mwingi kwenye nyumba za upangajini.

Nafahamu kuna option ya kufunga mita ndogo...nadhan wanaita submeter..ila mie napendelea hiko kifaa nilichoelezea hapo juu.

Mwenye ujuzi....naomba anijuze au anishauri...njia mbadala ya kifaa tajwa au submeter.

Nawasilisha!
 
hujui hata bansen banner ?ahahahaha nilidhani socket breaker ila nilivyoendelea kusoma nikagundua sio
 
Salaam wanajukwaa....natafta kifaa cha umeme ila sikijui jina lake...nitaeleza kazi yake kisha mnaojua naomba mnijuze jina lake na kama inawezekana...wapi naweza kukipata kwa dsm.

Kifaa hiki hufungwa baada ya mita ya tanesco na wakati mwingine hata baada ya main switch. Kwa vyovyote vile kifaa hiki hufungwa kabla ya nyaya za kusambaza umeme ndani ya nyumba.

Kazi yake kubwa ni kuzima umeme pale ambapo mtu ndani ya nyumba atawasha kifaa kinachotumia/ au kuvuta umeme mwingi kwa mara moja...mfano hita au jiko la umeme.

Kifaa kitazima umeme...hivyo kulazimika kwenda kuwasha tena. Nia hasa ni kudhibiti matumiz ya vifaa vinavokula umeme mwingi kwenye nyumba za upangajini.

Nafahamu kuna option ya kufunga mita ndogo...nadhan wanaita submeter..ila mie napendelea hiko kifaa nilichoelezea hapo juu.

Mwenye ujuzi....naomba anijuze au anishauri...njia mbadala ya kifaa tajwa au submeter.

Nawasilisha!
Kinaitwa cutout au fuse au circuit breaker au main switch
 
Kinaitwa cutout au fuse au circuit breaker au main switch
Asante sana....ingawa nahisi hii inahusika zaidi na shoti au...?! Au hii pia inaweza kifanya kazi ninayoitaka vyema? Isije ikawa mtu akiwasha pasi tu....cutout inaingia kazin!! Ufafanuzi please!
 
Asante sana....ingawa nahisi hii inahusika zaidi na shoti au...?! Au hii pia inaweza kifanya kazi ninayoitaka vyema? Isije ikawa mtu akiwasha pasi tu....cutout inaingia kazin!! Ufafanuzi please!
Ninakushauri umtafute mwana jf anaitwa Transista huyu jamaa ni mchawi wa umeme anaishi Gongo la mboto, hana makuu na ni mtu wa msaada sana ktk haya makitu...nenda jukwaa la tech...utapata mawasiliano yake ukikwama sema nikurushie mawasiliano
 
Ninakushauri umtafute mwana jf anaitwa Transista huyu jamaa ni mchawi wa umeme anaishi Gongo la mboto, hana makuu na ni mtu wa msaada sana ktk haya makitu...nenda jukwaa la tech...utapata mawasiliano yake ukikwama sema nikurushie mawasiliano
Kiongozi asante sana....! Nadhan huyo bwana atanifaa sana! Naomba nipm mawasiliano yake nimwendee hewani...! Asante sana!
 
Shukran mnooo aisee!!!
Usjali mkuu, kawaida tu kuelekezana, najua utafurahia huduma yake, huwa jamaa anajitolea sana hata kufundisha namna ya kusuka incubator bure kwa wana jf. Ukikwama kuwasiliana unijulishe nkupe njia mbadala ya mawasiliano
 
Usjali mkuu, kawaida tu kuelekezana, najua utafurahia huduma yake, huwa jamaa anajitolea sana hata kufundisha namna ya kusuka incubator bure kwa wana jf. Ukikwama kuwasiliana unijulishe nkupe njia mbadala ya mawasiliano
Poa poa chifu...naona amekuambukiza na wewe....maaana umekuwa mkarimu mnooo! Asante sana! Ntaleta mrejesho hapa....!!
 
Poa poa chifu...naona amekuambukiza na wewe....maaana umekuwa mkarimu mnooo! Asante sana! Ntaleta mrejesho hapa....!!
Mkuu nami nimefaidi mengi kupitia wana jf, huwezi amini hapa jukwaani kuna watu wa maana sana mkuu japo changamoto nazo zipo
 
Mkuu nami nimefaidi mengi kupitia wana jf, huwezi amini hapa jukwaani kuna watu wa maana sana mkuu japo changamoto nazo zipo
Ni kweli kabsa...halafu kuna viazi....japo si vingi...ila vipo..vinaboaga sana....! All in all jf ni mahala pazur sana....
 
Ninakushauri umtafute mwana jf anaitwa Transista huyu jamaa ni mchawi wa umeme ...
Kama ndio yule aliyesema kuwa earth rod ikiwa sio original umeme unatumika kwa wingi, basi mimi sishauri uchukue kila kitu kwake kama kilivyo. Kuna hoja alishindwa kuijibu humu kwenye mada hiyo, so lazima tuwe makini
 
Back
Top Bottom