Nyumba IPO mbezi beach kijogoo 300 meters from Africana Bagamoyo Road
#Legal documents available
#Eneo la kiwanja 400 sqmts
#Inahitaji semifinishing kwasasa ina umeme
#Maji ya dawasco yapo...
Je unamahitaji ya computer network ki office nakufanya kukuza ufanisi wa kazi zako katika dunia hii ya sayansi na technology
Basi ondoa shaka tuna fanya networks installation and configuration...
Vunja bei ushindwe mwenyewe kuipenda nyumba yako
Pia nafanya decoration majumbani
Niite nitakuja kukupendezeshea nyumba yako
Tunapazia nzuri na za kisasa kwa bei sawa na bure
Tupe vipimo vya...
Tunauza na kufunga CCTV cameras kwenye Majumba, Yard, Parking, Maofisi, Madukani, Viwanda, Bank na kwingineko. Bei zetu ni nafuu sanaaa, na vifaa vyetu ni original.
Bei ya camera (Inategemea aina...
Flat-Screen TV (ya brand ya HomeBase) na Deki (ndogo ya RISING), vimetumika 1 month, bado vipya kabisa, vinauzwa vyote kwa Laki 2 cash. Siwezi kuu pload picha. Note: TV haina stendi, imeshauzwa...
Nyumba ziko mbili. Ya kwanza sh 350,000/= kwa mwezi na nyingine ni sh 300,000/=. Zote ziko ndani ya fence, self contained, Nyumba kubwa kiasi, room mbili za kulala,sebule,dining, jiko, stoo, zote...
Kiwanja kinauzwa pugu mwakanga (karibu na steshen ya tazara-mwakanga, karibu na "kwa Pinda".
kilomita 3.5 kutoka makutano ya barabara ya pugu na chanika
ukubwa sqm 900
bei shilingi 15,000,000...
Duvet duvet duvet
Duvet nzito za kuweka ndani ya quilt covers
7*8/9 king size
85,000/-
Call/whatsap #0769633450 #0713691101
Free delivery in dar
Mkoani tunatuma
Kama kichwa hapo juu kinavyojieleza.
Bajeti yangu 5mil nahitaji gari tajwa hapo juu iwe kwenye hali nzuri, isiwe na mahitaji ya matengenezo yoyote.
Pm tujadili
Kama kichwa cha Tangazo kinavyojieleza,ninao uwezo wa kusuooly ngozi kavu 1000 za mbuzi kwa kila mwezi.
Alie na uhitaji njoo PM na offer yako.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.