julius junior
Member
- May 22, 2014
- 97
- 35
Nahitaji kiwanja Igoma Mwanza, bajeti 1.5 hadi 2 Million(s), Mwenye nacho tuwasiliane tafadhali
Igoma sehemu gani ? Kama ni kishiri nikuunganishe na muuzaji uongee nae
Kama Igoma kati au hata shamaliwa kwa bajeti hiyo sio rahisi kupata
mkuu Igoma kati ndo center ya Igoma pia ni karibu na barabara kuu ya Mwanza - Musoma kumechangamka sana huko hata viwanja hakuna labda ununue nyumba
Shamaliwa ni mitaa ya mbele kidogo patulivu lakini kumejaa napo viwanja unaweza kupata ila ni ghali sana na vimepimwa
na huko kishiri ndio kunajengwa sana kwa sasa maeneo mengi bado ni mashamba hivyo unaweza kukatiwa saizi unayotaka kwa maelewano bado hakujapimwa