Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,088
Nauza kiwanja eneo la Busenga, Cocacola Mwanza; eneo lina miguu 20 kwa 37, tayari lina msingi wa nyumba ya kisasa. For serious buyers only. PM
Shamba heka moja Bagamoyo maeneo ya Kiromo Buma -Tsh 5000000/ inatakiwa haraka ndo mana bei imepunguzwa pana mipingo na kisima cha maji pia maji ya ruvu bomba yapo mita 30
Shamba heka moja Bagamoyo maeneo ya Kiromo Buma -Tsh 5000000/ inatakiwa haraka ndo mana bei imepunguzwa pana mipingo na kisima cha maji pia maji ya ruvu bomba yapo mita 30
Ebwana hapatuami maji?Weka contact zako mkubwa!
hapatuami maji ni level pana mipingo mingi zaidi ya 30 midogo nimechimba kisima nimechimba na mchanga upo ila kuna mambo yameingilia plan zangu nalazimika sikupenda kupatoa .06869094114
Mkuu, tarakimu zimezıdi ziko 7, fanya marekebisho.
Kiromo Buma iko wapi?? Kabla au baada ya Bagamoyo kama unatoka Dar??
414 mwishoni ondoa 1 iliyozidi mkuu tuwasiliane
umeshapahamu hapo mahala?
Nakucheki kumrade japo ningependa kujua distance toka barabaranı.
Hapana,ndo nielekeze