Kwa wale wakazi wa Dar es salaam
Nyumba inakodishwa iko wilaya ya Temeke (Mbagala kizuiani),
Vyumba vitatu, dinning room, sitting room na jiko.
Ina eneo kubwa la parking
Umeme na maji
Iko mita...
Natafuta mtu aniprintie cheti changu cha chuo kimoja cha chuo cha ufundi cheti kimepotea na imeshindikana kupata kingine. Msaada jamani duu hali mbaya kinahitajika haraka sana malipo yapo mazuri...
Nyumba Ipo safi ina vyumba vitatu na Kimoja master ambacho kina AC, Jiko safi sebule na mazingira mtulivu, maji yapo na tank la maji Juu, Ipo mabatini ya kutoka Africa sana, lami mpaka getini, bei...
Nyumba ipo Sinza Near kwa Remi Dakika 5 tu toka barabarani, inajitegemea ndani ya geti
Sifa zake
3bdrom & 1self contained, kitchen, sitting room, store, public toilet, tiles, gypsum, Allminium...
Kwa harufu nzuri za asilia kutoka katika mimea mbali mbali ikiwemo viungo na maua. Karibu ujipatie perfume original kabisa perfume pendwa katika soko la vipodozi dunian kote.
Wasiliana nami kwa...
Ni aje wanajamvi....
1. Kama unataka software package ya Adobe CS6 ama CC, Microsoft Office 2007 / 2010, Cinema 4D R14 na nyingine nyiiingi basi niPM namba yako. Nainstall na ninakuachia na copy...
Nauza Toyota Landcruser Prado ya mwaka 1999 plate namba BUC
Gari ipo katika hali nzuri, bei maelewano. Engine 1kz
Napatikana dsm.
Contact;
0714 521128
0786 119448
Wadau, nahitaji generator yenye uwezo kuanzia horsepower 5.
Ila hata sijui bei zake na specifications zake. Wazoefu mnishauri aina gani na pia bei zake ili nijipange niingie jijini na mkwanja...
Kwa wanaume wanaosumbuliwa na kutokwa na upele baada ya kunyoa ndevu,au kupata harara, sabuni nzur ya north for men inafanya maajabu, upele wote unapotea, pia kuna sabuni ya kuogea, age control...
Nyumba inauzwa na kuna uwanja mkubwa ambao unaweza kujenga nyumba nyingine utakayotaka wewe kwani iliyopo ni ya kiwango cha chini. Mahali ilipo ni Igoma jijini Mwanza (Nyuma ya St. Mary School)...
Hodi hodi ninabisha, jukwaani kuingia
Kwa simanzi kuwapasha,yale yalonitokea
Mtima una mashaka,jinsi ya kuelezea
Nimempoteza Kaka, Niliyempenda sana
Ilikuwa ni jioni, nikaipokea simu
Haraka...
Nyumba ya vyumba viwili(guests), master1, Seating room, choo public, jiko, baraza, mabanda 9 uwani, kisima cha maji, karibu kabisa na barabara ya ubungo maziwa to Mabibo...bei Mil 85.....
Ni PM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.