Tunachora ramani za nyumba na plots za viwanja kwa bei rahisi kabisa.(kati ya laki2.5 na milion1 kwa majemgo yasiyo na ghorofa"Lddst"" )
Pia tunatoa ushauri "consultancy" juu ya ujenzi...
Habari ya muda huu watu wangu ,
Napenda kuwajulisha kuwa yoyete anayehitaji
Cement ya jumla naomba tuwasiliane
Nakuletea popote ulipo maeneo ya dar es salaam bei ni kutokana na umbali wa eneo
Habari wakuu.
Nafundisha accounting Packages mbalimbali kwa watumiaji na supporters. Hii ni pamoja na Sage evolution, Pastel Partner, premier payroll, Tally na Sage HR.
Laki moja kwa kila kozi...
Habari zenu wapendwa?
Samahani naomba kujua wapi naweza kupata mashine ya kufyatulia tofali na mixture na zinauzwaje? Nipo Dar. Mwenye ufahamu anisaidie maelezo. Asante
Habari wadau mimi nipo dar maeneo ya mbagala natafuta soko la kuuza kuku kwa jumla na rejareja kwa bei ya maelewano...tafadhali kama wahitaji naomba tuwasiliane kwa 0676040383
Wakuu nichukue fursa hii kuutangazia umma wa hii Jf kwamba, Tunatengeneza mifumo mbalimbali kama vile website, Students Management system, forums, Hospital and Human Resource Management System...
Wakuu habari zenu kwa mtu yeyote mwenye taharifa za viwanja au mashamba ya bei rahisi kwa upande wa bagamoyo huko tuwasiliane inbox
Natanguliza shukrani zangu kwenu
TANGAZO LA KUUZWA KWA VIWANJA!
MANISPAA YA MOROGORO IMETOA KIBALI KWA KAMPUNI YA BAYPORT KUUZA VIWANJA VYAKE VILIVYOPO NJE KIDOGO YA MANISPAA YA MOROGORO KM 4 TOKA ILIPO MIZANI YA MAGARI,VIWANJA...
Nyumba ipo 16 toka feri ya magogoni na 150meters toka barabara kuu, ina vyumba 2 vikubwa pamoja na sitting room kubwa kama inavyoonekana , jiko, choo, na bafu, kisima kipo, umeme wa uhakika upo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.