Habari zenu waungwana, nahitaji Generetor used yenye uwezo wa kiwasha tv receiver radio computer na taa kama 5 hivi bajeti yangu 150,000. ikipatikana moshi arusha itakuwa poa zaidi mimi napatikana...
Wana JF poleni na mihangaiko ya maisha na natumaini nyote wazima.
Naomba msaada mwenye kujua sehemu ambapo wanauza vifaranga vya kuku wa kienyeji au machotara(nasikia nao wanafafana kitabia na wa...
Ukubwa: 25M × 20M (500SQM)
Kiwanja Hakijapimwa ila hakina Mgogoro, Mimi Mwenyewe naishi jirani na Mauziano yatafanyika serikali ya mtaa.
Bei ya Kiwanja 8.5milioni
Tupe Oda Yako Kampuni Yetu Ya BANGO JEUPE Itawakutanisha Muhitaji Na Mwenye Mali kwa urahisi Popote Jijini Dar!
Kwa Muuzaji wa Kiwanja/Shamba/Beach Au Nyumba Hakikisha...
¤Unayo Hati Na Mmiliki...
IF you need database i can do it for you ..bei ni maelewano kutokana na wewe mwenyewe unavyotaka iwe ..kama una kampuni au shirika lolote wote mnakaribishwa
IPO mbezi beach jogoo karibu na africana bagamoyo road (300metres)
INA UMEME semifinished house INAHITAJI SEMIFINISHING
#4bedroom
#legal documents available
dalali HAITAJIKI
#Price 100 millions...
WanaJF,
Nipo Arusha na ninahitaji kununua mapazia mazuriiii kwa ajili ya nyumba yangu.
Nisaidieni, wapi (maduka gani) ninaweza kupata sample mbalimbali za mapazia?
Kwa mahitaji yako ya Car Parking Shades, Tafadhali usisite kutuona SHARE ENTERPRISES,
Tutatengeneza kwa style unayoitaka na kwa bei nafuu.
Iwe ni kwa gari Moja, Mbili na kuendelea.
Pia hata kwa...
DESKTOP PC:
BRAND: HP
RAM: 6GB
PROCESSOR: Intel Core i5 dual core @3.30GHz
TYPE: 64bit
OPERATING SYSTEM: Windows 10, Original Activation.
HARD DISK: 250GB
MICROSOFT PROFESSIONAL 2016, Original...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.