Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta HP Envy dv7t-7200 Quad Edition Ivy Bridge Quad Core i7-3630QM, 8GB RAM, Blu-ray, Windows 8 Intel Core i7 - 8GB RAM - 750GB Storage - 17.3" Display - Blu-Ray kwa ajili ya kununua. Mwenye...
-2 Reactions
4 Replies
1K Views
A US$700m landmark finance deal struck by Etihad Airways Partners (EAP) to fund expansion has been recognised by the prestigious market intelligence organisation International Financing Review...
0 Reactions
26 Replies
10K Views
Habarini jamani nahitaji msumeno mdogo ule wa umeme. Mara nyingi wanatumia kukatia mbao ndogo ndogo ili kuweka maua. Mwenye nao aweke bei tufanye biashara uwe mzima
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Bei maelewano, inapatikana Dar Es Salaam Tegeta, imeishi muda pasipo kufanya kazi.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Niina galaxy note3 ipo njema but kwa bahati mbaya juzi kati imenyofoka kile kiplastiki cha ku protect camera na flash kwa nyuma nilipokuwa nikifungua mfuniko wake wa nyuma. Mbaya zaidi kilivunjika...
0 Reactions
0 Replies
893 Views
Samsung Galaxy Note 4 for sale Full boxed Gold version 32GB Internal Storage Price 700,000
0 Reactions
0 Replies
688 Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya vetenary temeke.Ina 1.master room moja 2.guests rooms mbili 3.sebule/seating room moja 4.jiko 5.public toilet ya ndani 6.public toilet ya nje 7.visima vya maji viwili...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Gari ni mpya kama inavyo onekana kwenye picha.Bei 9.8 milion.maongezi yapo.
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Flat TV nchi 32 Samsung inauzwa used for 6months. Nipo Taifa Dar, nicheck 0769630209
0 Reactions
2 Replies
776 Views
Haina tatizo lolote With.. 2gamepads, Charger cable, Gamepad charger cable(USB), Original CD fifa13. PRICE Tsh.500,000/=NET
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Kiwanja kinauzwa Forest ya Zamani jirani na chuo cha Mzumbe, Mbeya Tshs. 60m. Bei inazungumzika. Kwa mawasiliano, wasiliana nami 0754060350,0716252818.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu wadau Naomba kwa anayeuza mafreezer atuwekee bei na picha kama yawezekana na mahali alipo
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nina TV ambayo mtoto aliiangusha hivyo wino ulivuja. Kwa Fundi anayehitaji au MTU yeyote anayeweza kuhiitaji kuitengeneza au spare zake, anitafute. Bei 250. Niko Temeke, no: 0769630209...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu, viwanja viwili vipo nyuma ya Uporoto hapo Dar vilivyoungana. Kila kiwanja kina nyumba ambayo ina room tatu, sebule na choo na jiko. Kila kiwanja kina mita ya miraba elfu nne na kina hati ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ahlan wa sahlan Mabibi na Mabwana, ningependa kuwatangazia wale wenye uhitaji wa kununua viwanja ni kwamba nina hekari zipatazo 9 Goba Njia Nne, kila hekari moja nauza kwa milioni 20 za...
0 Reactions
0 Replies
916 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, anaeuza tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye kujua simu tecno boom j8 ni bei gani
0 Reactions
2 Replies
10K Views
Habari, Nauza gari aina ya Toyota Noah ya mwaka 1999, imetembea kilometer 109, 000, number D, nauza kwa milioni 12 Wasiliana nami kwa 0716727741
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kipo mbezi Makonde karibu na sunset halls. Kina ukubwa wa sqm 1200. Kimepimwa. Bei 220m, mazungumzo yapo. Mawasiliano: 0655550450.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo-Kinzudi Goba Ukubwa-18kwa20 Bei-million12 Maji Na Umeme Vipo Maelewano yapo More Details NiPM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom