Ninahitaji friji ndogo used, inayofanya kazi vizuri, yenye partitions kadhaa ndani, safi, rangi nyeupe , 75watt, iwe INA gesi yakutosha, anipe ofa yake kupitia 0687072066
Au naomba anaejua...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
Je computer yako ina tatizo lolote? Kama kutowaka,kutoingiza charge,kubadili kioo au ipo slow...usisite kuwasiliana nasi kwa matengenezo ya computer yako piga simu namba 0676040772,au karibu...
MASSEY FARGUSON COMBINE HARVESTER INAUNZWA
Tunauza mashine ya kuvunia nafaka tofauti (Combine harvester) ipo imara sana na ni simple sana kuifanyia matengenezo pindi inapo haribika..
Kutoka...
Habari
Nahitaji MTU wa kunipa hiyo service Na tutor ya kuanza kupata niche blog topic Na WordPress seo template then kuiweka iwe top katika all search engine ili mwisho wa siku nipate organic...
Beach plot for Sale(4 acres) 24 million
The plot is strategically positioned for invest
iment purposes. The plot is located 40 km from ferry dar-es-salaam.
For more infomation call
+255 762 786 606
Nauza blackview ultra a6 same kama iPhone lakini ni android..imetumika miezi miwili haina mkwaruzo wala mchubuko rangi silver na black camera ya ukweli pia unaweza badilisha kutoka android kwenda...
Nyumba yenye kila kitu ndani inapangishwa jijini Mbeya. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko kubwa, kodi yake kwa mwezi $ 750, mazungumzo yapo
Kwa mawasiliano...
Jengo lenye ukubwa wa eka 2, kwa ajili ya matumizi ya yadi, linapangishwa Uyole mbeya. Kodi Tshs. 300,000/=tu kwa mwezi.
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba 0754060350,0716252818...
Kiwanja cha barabarani kinauzwa maeneo ya Uyole Mbeya. Kipo barabarani, kinafaa kujenga majengo ya biashara, hostels nk. Kinauzwa 250m
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba...
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule choo, jiko, self contained, inauzwa maeneo ya Iwambi, jijini Mbeya Tshs.60m. Mazungumzo yapo.
Kwa mawasiliano, wasiliana nami kwa simu namba...
Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, sebule kubwa, chumba cha chakula, jiko, selfcontained inapangishwa maeneo ya Sae, Mbeya, kwa kodi ya Tshs. 400,000/= tu kwa mwezi. Ina nyumba ya uwani yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.