Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 20,074
- 24,179
Wana JF
Naomba mwenye ufahamu wa ndani kuhusu kuendesha biashara ya kusagisha na kuuza unga wa Sembe:inalipaje?aina gani ya machine inafaa zaidi,na ujanja wa biashara hiyo!mahindi yapi yanatoa unga mzuri!yaani full details za hiyo biashara tokea yakiwa mahindi hadi packed na kuuzwa!
Naomba mwenye ufahamu wa ndani kuhusu kuendesha biashara ya kusagisha na kuuza unga wa Sembe:inalipaje?aina gani ya machine inafaa zaidi,na ujanja wa biashara hiyo!mahindi yapi yanatoa unga mzuri!yaani full details za hiyo biashara tokea yakiwa mahindi hadi packed na kuuzwa!