Mimi ni mjasiriamali ambaye nataka kuanza kuuza asali ndani na nje ya nchi,nimefatilia na kupata wakulima wa asali na sasa natafuta soko la asali.Naomba kwa yeyote anayefahamu anijulishe.
Gari iko vizuri sana na haina tatizo lolote
Ina 4wd
AC iko safi
Automatic gear
Inatumia petrol
Power windows
Model ya mwaka 1997
Bei ni milioni 9 tu.
Angalia picha ukipenda karibu tufanye biashara...
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
Gauge 28-9500/m
Gauge 30-8000/m
Mabati ya mikunjo(Versatile)
Gauge 28-12500/m
Mabati migongo modogo(corrugated) ya rangi
Gauge 28-27000/piece,gauge30...
Habari wakuu.
Natafuta IST(TOYOTA) yenye sifa hizi:
1.Iwe namba C au D
2.Jina la muuzaji liwe kwenye kadi
3.Bei isizidi milioni sita(6,000,000/-)
Simu:0713-039875 au 0784-976570
Wadau nauza gari yangu Nissan civilian no T 262 CRY
Ipo katika hali nzuri inafanya kazi, vibali vyote vipo ok
Haina deni
Bei ni 22m
Maongezi yapo
Cm 0744651899
Habari wakuu.Mimi ni mtaalamu wa software nafanya kazi maeneo ya posta.Naishi jirani na geti la daraja jipya la kigamboni.
Nina ombi moja. Natafuta jamaa anayepita na gari kuanzia saa moja kamili...
Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)
Mabati ya mikunjo(Versatile)
Mabati migongo modogo(corrugated) ya rangi na meupe
Kofia na valley
-Misumali ya bati kila rangi
-Gauge 28 na 30
-upana...
Jamany watu wangu wa nguvu naitwa mwalimu Mahamba nipo manispaa ya Tabora idara sekondari ,natafuta MTU wa kubadilishana naye kituo cha kazi mm nije busokelo na yy aje tabora,naomba kama kuna MTU...
Wakuu amani iwe nanyi. Kama tittle invyoonoesha. Nahitaji kukodi fuso ya tani 10 kwa ajili ya kubebea bidhaa ya unga wa mahindi mkoa wa marogoro na Iringa. Nikikabidhiwa gari hiyo nitalipa hesabu...
Habari wanaJF natafuta mtaalamu wa Tally Accounting Package anifanyie connection, anitengeneze chart of accounts na nimuulize kuhusu some features. Naombeni mnisaidie.
Wakuu, kwa wale Wanaohitaji Spanish tiles orijino, kwa bei che, mzigo unapatikana wa tiles ya 45 X 45 cm, red paste. Square metre ni vigae tano. Square metre inaanza @tsh 35000, bei inapungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.