Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina 160k nataka tecno c5 ilionyooka isiwe na shda yoyote.
0 Reactions
6 Replies
821 Views
new berringer sound card with 8 connector for sale.......... check me on 0655509828
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Jamani Naomba msaada wa kujua wapi nitapata muhuri wa moto na vitu gani vinaitajika mpaka niweze kuuziwa mfano kama ni picha au vitambulisho... niko Dar es salaam Nawasilisha
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba kujuzwa ni mashine gani nzuri kwa ajili ya kutengeneza risiti, printer za karenda na za tshirt, nikipata picha za mashine hizo nitashukuru sana. with thanks
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kina ukubwa wa mita 20*20, kipo sehem nzuri bei yake ni milioni sita na nusu (6.5M) kwa mawasiliano piga 0719885562 au 0766779912
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Ndugu wanajamvi nauza gari yangu toyota IST ambayo ina mwezi mmoja hapa bongo tangu iingie.. Reg T ... DGW Alloy Wheels 63,000 millege Price: 11.5m negotiable Karibuni..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
HANSOM TANZANIA LTD Ni wauzaji na wakodishaji wa Construction Vehicles wa kampuni za kichina za LIUGONG, SHACMAN na HOWO. Bidhaa zetu ni: Tractor,Tipper ,Cargo ,Mixer, Sprinkler ,Special Vehicles...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nauza kiwanja kipo kigamboni eneo la mwasonga opposite na KISALAWE B SECONDARY, kina ukubwa wa ekari moja. Bei ni sh ml 13 au ukitaka nusu ekari ni sh ml 6,500,000. Maelewano yapo. Kina nyaraka za...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 30m*27m (sqm 810). Bei 1.8 ml. 0753101293
0 Reactions
0 Replies
813 Views
4gb internal memory 1gb ram Black 1.23ghz processor Black Screen size 4.0"inches Bei ni tsh 115,000/= tu Piga +255755062244 Nipo arusha, imetumika kwa muda wa mwez mmoja tu,
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu Nahitaji mtu/mahali ambapo nitaweza kupata mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya jumla itakua vizuri ukiniambia na bei yake kabisa Napatikana Dar Es Salaam Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza mayai ya kuku wa kisasa trey kwa shilling 7500 napatikana dar na dodoma kwa bei ya 10500 ikiwa utahitaji trey nying. #mawasiliano yangu 0658 999 507
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hdd gb80 2gb ram 1.67ghz processor Dvd room Webcam Vga port Screen size 12.0"inches Bei ni tsh 260,000/= tu Inakaa na charge dk 45 thats y naiuza ivyo! Piga +255755062244 Nipo arusha
0 Reactions
0 Replies
669 Views
Habarini ya Kazi ndugu zangu! tuna vyombo vya usafiri tunakodisha kwa ajiri ya harusi, misiba, sherehe, semina za mbali, safari za mikoani nk. vyombo hivi vinausajiri wa kufanya Kazi kama tour...
0 Reactions
0 Replies
794 Views
Just 23M Cont 0674 338225
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Great Thinkers, Kama uzi unavyojieleza hapo juu, Gari ipo katika hari nzuri (inatembea). Mimi ndo mmiliki wake halali napenda kuwahakikishia kuwa haina tatizo kabisa. Sababu ya kuiuza...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu nauza Suzuki swift 1.3 used toka Japan imetembea kilometer chache. Ipo Arusha kwa yeyote anayehitaji anipm or namba 0718146734
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Price 400,000/= Specifications.. Internal memory 16GB Ram 2GB Main Camera 20mp Front Camera 8mp Haina tatizo lolote... Serious buyer anicheck via 0716421233
0 Reactions
3 Replies
565 Views
Toyota vitz 5 doors iko katika hali nzuri inauzwa, reg no BGP Gari ipo mbagala Hakuna udalali Call/whatsapp +255657 557677
0 Reactions
3 Replies
909 Views
Back
Top Bottom