Jamani Naomba msaada wa kujua wapi nitapata muhuri wa moto na vitu gani vinaitajika mpaka niweze kuuziwa mfano kama ni picha au vitambulisho... niko Dar es salaam
Nawasilisha
Naomba kujuzwa ni mashine gani nzuri kwa ajili ya kutengeneza risiti, printer za karenda na za tshirt, nikipata picha za mashine hizo nitashukuru sana. with thanks
Ndugu wanajamvi nauza gari yangu toyota IST ambayo ina mwezi mmoja hapa bongo tangu iingie..
Reg T ... DGW
Alloy Wheels
63,000 millege
Price: 11.5m negotiable
Karibuni..
HANSOM TANZANIA LTD
Ni wauzaji na wakodishaji wa Construction Vehicles wa kampuni za kichina za LIUGONG, SHACMAN na HOWO.
Bidhaa zetu ni:
Tractor,Tipper ,Cargo ,Mixer, Sprinkler ,Special Vehicles...
Nauza kiwanja kipo kigamboni eneo la mwasonga opposite na KISALAWE B SECONDARY, kina ukubwa wa ekari moja. Bei ni sh ml 13 au ukitaka nusu ekari ni sh ml 6,500,000. Maelewano yapo.
Kina nyaraka za...
4gb internal memory
1gb ram
Black
1.23ghz processor
Black
Screen size 4.0"inches
Bei ni tsh 115,000/= tu
Piga +255755062244
Nipo arusha, imetumika kwa muda wa mwez mmoja tu,
Husika na kichwa cha habari hapo juu
Nahitaji mtu/mahali ambapo nitaweza kupata mayai ya kuku wa kisasa kwa bei ya jumla itakua vizuri ukiniambia na bei yake kabisa
Napatikana Dar Es Salaam
Kwa...
Nauza mayai ya kuku wa kisasa trey kwa shilling 7500 napatikana dar na dodoma kwa bei ya 10500 ikiwa utahitaji trey nying.
#mawasiliano yangu 0658 999 507
Hdd gb80
2gb ram
1.67ghz processor
Dvd room
Webcam
Vga port
Screen size 12.0"inches
Bei ni tsh 260,000/= tu
Inakaa na charge dk 45 thats y naiuza ivyo!
Piga +255755062244
Nipo arusha
Habarini ya Kazi ndugu zangu! tuna vyombo vya usafiri tunakodisha kwa ajiri ya harusi, misiba, sherehe, semina za mbali, safari za mikoani nk. vyombo hivi vinausajiri wa kufanya Kazi kama tour...
Habari Great Thinkers,
Kama uzi unavyojieleza hapo juu, Gari ipo katika hari nzuri (inatembea). Mimi ndo mmiliki wake halali napenda kuwahakikishia kuwa haina tatizo kabisa.
Sababu ya kuiuza...
Husika na kichwa cha habari hapo juu nauza Suzuki swift 1.3 used toka Japan imetembea kilometer chache. Ipo Arusha kwa yeyote anayehitaji anipm or namba 0718146734
Price 400,000/=
Specifications..
Internal memory 16GB
Ram 2GB
Main Camera 20mp
Front Camera 8mp
Haina tatizo lolote...
Serious buyer anicheck via 0716421233
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.