Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tsh 7000 na cha kuvalia mkonon ni tsh 3000.
0 Reactions
2 Replies
898 Views
Habari za jioni? Nauza shamba maeneo ya Mbopo karibu na Madale. Ukubwa ni eka 1 na bei yake ni mil 23. Eneo limepimwa na lina hati. Ni sehemu nzuri ambayo ipo tambarare. Kwa anayehitaji anaweza...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
JISAJIRI NA UINGIZE KIPATO 1:Jisajii bure kwenye website ya icharity club iCharity Club - Registration 2:Changia sh.50,000 ili uji upgrade uingie daraja la 1 3:Waunganishe watu 5 ambao...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
JF, SAFIRI PAMOJA - Safiri nasi ukiwa na Ndugu, Jamaa na marafiki kwa kuwafanyia Booking katika Safari Zetu tunazo andaa.
0 Reactions
0 Replies
805 Views
Husuka na kichwa cha habari, natafuta keyboard ya N5050.
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Kama una bidhaa tajwa tuwasiliane, lazima iwe ni stainless steel
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari nahitaji kupata Drip Irrigation system ya ku cover 2 acres kwa bei nafuu,
1 Reactions
16 Replies
8K Views
Tunahitaji gari ndogo ya kukodi kwa kutwa maelewano km sh 25,000 per day(120 km limit per Day) ikiwezekana na deposit kama security tutaweka ndani ya jiji la Dar 35 km radius na inaweza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wana jamvi natotolesha vifaranga vya kuku wa kienyeji kwa order bei ya kifaranga kimoja ni tsh 1500.karibuni sana nipo sinza dar.Pia kama una mayai yako tunatotolesha kwa sh 10000 kwa trey...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JMK ROYAL SERVICES Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life) Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Shamba lipo umbali wa km 31 kutoka Kigamboni lina ukubwa wa hekari 23, limepimwa lina offer piga simu 0755250190 kwa maelezo zaidi
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau natafuta dada wa kufanya kazi ya kutoa dawa kwenye duka langu la dawa muhimu. Duka Liko pembeni mwa jiji la Dar. Kama kuna mtu anatafuta kazi hiyo anitafute kwa kuni Pm
0 Reactions
1 Replies
912 Views
JMK ROYAL SERVICES Agent of Building Materials tunakuletea tiles za TwyFord(better tile,better life) Tiles za kila aina zote(za ukutani,chini,jikoni,bafuni,na ukuta wa nje ya nyumba) upendazo kwa...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari wadau wa jf. Natafuta pikipiki used. Iwe ya Kijapani au KKihindi. Nitumie private msg kama unaweza kusaidia katika hili
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Kuanzia leo tunaanza biashara ya mikeka Tutaenda kwa rules 5 1. Tutaweka mikeka miwili tu + bonus 1 ambapo huu wa bonus utaweka hela ndogo ambyo haipaswi kuwepo kwny mahesabu 2. Mkeka 1 utakuwa...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Recently nimefanya research ya biashara ya mchele, mahindi na mkaa. Namaanisha nimejua wapi naweza kupata bidhaa hizo kwa bei rahisi (within these 2 months June & July) na wapi soko lilipo(DSM)...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam wadau...ni nauza printer Kubwa ya mabango (Large Format) mpya kabisa na imeharibika. Imetengenezwa na Yilong Corporation.Inaprint kwenye karatasi ngumu na nyepesi na hata platics na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kama wewe ni mfanyabiashara wa bar au unampango wa kufungua bar basi karibu, kuna eneo sahihi kwa ajili yako maeneo ya mwenge, Bar inahususha sehem kubwa ya counter, store kwa ajili ya vinywaji...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Solar Water Pump (SP 300) Product Description/Maelezo. SP 300 ina:- 1. Solar Panel Mbili 2. Controler moja. 3.Water Source Sensor moja na Water Storage sensor moja 4.Thread Seal tape 5 5.GI...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…