Ni PM nikupatie mawasiliano zaidi; inapatikana Dodoma ktk hali nzuri kabisa
DUUU,Used=900000/?...punguza bei mkuu.Tsh 900,000/=
5S ya laki 9 itakuwa made in Mbagala
Hadi sasa sijaona mtumiaji wa iOS device (apple products); bado nasubiri. Anayezijua, mtumiaji maridadi akiiona ataelewa tu.
Ni PM nikupatie mawasiliano zaidi; inapatikana Dodoma ktk hali nzuri kabisa
Haya mkuu watu wanatumia mpaka iphone 6+ wanajua bei zake. We jina linakuzuzua hiyo simu ina zaidi ya miaka miwili sokoni katikati kuna matolea ya 5,5s, 6 na 6 plus sa hiyo 4s ikiuzwa hiyo bei hizo zinazofuata zitauzwaje.
Mimi ninayo hapa 5s 16GB iko kama mpya haina mchubuko na ina kila kitu chake... Kama unaitaka leta 800k TZS Nauza sababu nataka ninunue iPhone 6.
Mimi ninayo hapa 5s 16GB iko kama mpya haina mchubuko na ina kila kitu chake... Kama unaitaka leta 800k TZS Nauza sababu nataka ninunue iPhone 6.
Ni PM nikupatie mawasiliano zaidi; inapatikana Dodoma ktk hali nzuri kabisa