Napangisha nyumba na eneo la ufugaji

bongobongo

Member
Jul 28, 2015
82
30
Eneo jipya lipo karibu na uwanja wa Azam. Kuna nyumba vyumba vi4. Viwili self contained, siting room, Jiko, uwanja mkubwa na mabanda yakufugia kuku hata elf3.Eneo lote limewekewa fence. Kuna kisima kirefu maji masafi muda wote. Matanki 2 ya lita 5000. Nje kuna fremu 1. Umeme upo. Ni barabarani. Anayehitaji ani beep kwa namba 0758838701 au 0784674578
 
Back
Top Bottom