Sh 22,500,000
Pia Nauza Memory card bei ya jumla sh13,000 na rejareja sh 15,000
for sale
Any car any motorcycle or spare please
Contact :-
Managing Director: Majid Mnana.
Mnana Motors & Bikes...
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari 10 liko eneo la Mlandizi bei ni sh. Milioni 35 bei inaweza kupungua. Kwa maelezo zaidi pigasimu namba 0784394701
CHARLES NAZI
PRICE: DOLL 73,500 WITH TAX PAYMENT (NEGOTIABLE) TSH 151,345,125
WITHOUT TAX PAYMENT. THE PRICE WILL BE 55,500 (NEGOTIABLE)
YEAR: 2015
FUEL: PETROL
KM: 0
ENGINE (cc): 2700...
Wakuu nina kuchi majogoo na mitetea,nauza jogoo mkubwa kabisa 70,000/= na mitetea ya kutaga 30,000/=
Kwa picha tuwasiliane ka Whatssap #0719813815
updates:
Wakuu asanteni,nimeshapata oda...
HP consulting, we are team of dedicated accountants providing outsourced bookkeeping services to small, mid- size and fast growing business of all type.
our services
-full bookkeeping service...
Kwa anayehitaji kufanya biashara ya Mpesa au Tigo Pesa,laini za uwakala za mpesa na tigo Pesa zinapatikana kwa Tsh 120,000 tu kwa lani ya mpesa na pia 120,000 kwa tigo pesa. Fanya hima kunicheki...
Nahitaji bajaji bajeti yangu ni Mil 3, nipo dar, iwe katika hali nzuri, na iwe na vibali husika na isiwe na Deni, kwa aliyo nayo tuwasiliane nije kuiona tufanye biashara.
Sent from my BlackBerry...
Dereva wa heavy trucks na magari mbalimbali mwenye leseni ya A, B, D, E na uzoefu wa kufanya kazi ya udereva miaka 7 anatafuta kazi. Mcheki kwa namba 0787518644
Shimso food products
Wanakuletea vitafunwa popote ulipo kwa oder maalum
Viazi vitamu/mihongo
Kisamvu cha Nazi
Samaki wa kukaanga
Pilipili
Tsh 3000/= kwa sahani
Bagia za dengu kwa tsh 200...
Kama kichwa kinavyojieleza ndugu nahitaji lap top medium isiwe real min au kubwa iwe size ya kati. Ikiwa ya acer itakuwa nzuri zaidi. Specifications ianzie 2.5 RAM na hard disk kuanzia 300.
Kwa...
Wadau nahitaji kuezeka kibanda changu lakini mpka sasa nimeshindwa kujua ni kampuni zipi ninunue mabati,maana nikipita nyumba nyingi naona mabati yamepauka sana na yamewekwa juzi juzi tu...
Wadau,
Nakodisha Noah kwa shughuli za harusi,sherehe na safari mbalimbali (sio kwa daladala), ipo katika hali nzuri sana. Bei maelewano,
Tuwasilianie : 0675-205760
Kiwanja kinauzwa kipo ruvu kwa zoka kina ukubwa wa hatua 35 kwa 20, kinatosha kujenga servant's quarter.... Kuna umeme, shule, hospital na soko.. Pia ni karibu na barabara. Bei ni 4mil maelewano yapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.