Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae,aje somanga kilwa nije kimanzichana au mkuranga mama yangu amepararize na uhamisho nimekosa niko tayari kukulipa gharama za kuhama!! Tafadhali nisaidie malipo...
Habarini wana Jamii, naomba kufahamishwa sehemu au kiwanda kinachotengeneza vifungashio kwa ajili ya unga wa mahindi, dona,sembe muhogo etc. pamoja na bei zake.
asanteni.
Wakuu Najua wengi watashangaa uzi wangu ila in short nina shida sana na naomba mwenye msaada hapa In short nimepoteza Indentification cards zangu zote leo na kwa sasa sina kitambulisho chochote...
Prado tx inauzwa namba zake clq nzima kila kitu text me whatsapp 0719628839 tuongee biashara nikutumie na picha gari bado nzima mil 36 maongezi yapo
Kwa wasio na whatsapp wanitafute kwa hii 0625979620
Nauza used desktop dell(pichani).
Hard disk 40GB
Ram 512MB
Processor 2.8Ghz
DVD Rom.
Pentium 4
Nb. Haina screen. nakupa kompyuta, mouse, keybody na cable zake tu.
Bei ni shilingi elfu themanini na...
Habari waungwana wa Jf,tunauza dagaa kwa ajili ya chakula cha mifugo kama vile kuku,ikiwa wewe ni mtu binafsi,kampuni au shirika unahitaji mtu wa kusupply hao dagaa kwa ajili ya mifugo please...
Habari wanajamii,
Nauza miti heka 5 pamoja na shamba aridhi iko njombe bei 15,000,000 miti ina mwika 6 ni mikubwa na mizuri kwa mawasiliano 0755238761.pia nina mashamba mengine mengi tu ya miti...
Mashamba,viwanja/plots vinauzwa
a) Mbande Chamazi Mbagala - DSM 40ft X 50ft = 6,000,000/=
b) Mbondole Ilala - DSM 40ft X 50ft = 3,000,000/=
c) Tambani Mkuranga 50ft x 50 ft - Pwani = 3,000,000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.