Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae,aje somanga kilwa nije kimanzichana au mkuranga mama yangu amepararize na uhamisho nimekosa niko tayari kukulipa gharama za kuhama!! Tafadhali nisaidie malipo...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Habarini wana Jamii, naomba kufahamishwa sehemu au kiwanda kinachotengeneza vifungashio kwa ajili ya unga wa mahindi, dona,sembe muhogo etc. pamoja na bei zake. asanteni.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu Najua wengi watashangaa uzi wangu ila in short nina shida sana na naomba mwenye msaada hapa In short nimepoteza Indentification cards zangu zote leo na kwa sasa sina kitambulisho chochote...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Mwennye uelewa juu ya ubora wa simu hizo, napenda kufaham ipi ni bora zaidi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mada ya tangazo inajitosheleza...I we nzima nipo dar
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Prado tx inauzwa namba zake clq nzima kila kitu text me whatsapp 0719628839 tuongee biashara nikutumie na picha gari bado nzima mil 36 maongezi yapo Kwa wasio na whatsapp wanitafute kwa hii 0625979620
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Canter inauzwa 23million, haidaiwi na ni nzima. kwa mawasiliano zaidi piga 0689315582
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza wallets za wadada, nzur na imara bei ni 10000 na 15000 tu,, karibun.,
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Nauza wallets za kike bei poa ni nzur mnooo Nauza nipo Dar, ukihitaji 0688121308 Mkoani Natuma.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wadau, Nawatakia sikukuu njema, ndugu yangu anatafuta gari NOAH, model ya zamani, nina million 9
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza used desktop dell(pichani). Hard disk 40GB Ram 512MB Processor 2.8Ghz DVD Rom. Pentium 4 Nb. Haina screen. nakupa kompyuta, mouse, keybody na cable zake tu. Bei ni shilingi elfu themanini na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ttechno c8 Nahtaj fasta nitxt 00653857431 nip na bei
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Natafuta Game ya call of Duty modern warfare zote 1-ya mwisho pm
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Habari waungwana wa Jf,tunauza dagaa kwa ajili ya chakula cha mifugo kama vile kuku,ikiwa wewe ni mtu binafsi,kampuni au shirika unahitaji mtu wa kusupply hao dagaa kwa ajili ya mifugo please...
1 Reactions
0 Replies
925 Views
Kuna toshiba laptop muundo wa mayai ram 4gb 160hdd chaji inakaa masaa 4 bado mpya bei yakutupa.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
I want to know, the tigo freelancer what is.??? What they are doing.!?? Please help me....!!!!!
0 Reactions
1 Replies
751 Views
Habari wanajamii, Nauza miti heka 5 pamoja na shamba aridhi iko njombe bei 15,000,000 miti ina mwika 6 ni mikubwa na mizuri kwa mawasiliano 0755238761.pia nina mashamba mengine mengi tu ya miti...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jami, Natafuta wanunuzi wa miti iko shambani njombe. kwa mawasiliano 0755 238761
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa nauliza hivi hizi solar powerbank zinafanya kazi vizuri ukichaji na jua,nisaidien nisipigwe
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Mashamba,viwanja/plots vinauzwa a) Mbande Chamazi Mbagala - DSM 40ft X 50ft = 6,000,000/= b) Mbondole Ilala - DSM 40ft X 50ft = 3,000,000/= c) Tambani Mkuranga 50ft x 50 ft - Pwani = 3,000,000/=...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom