kuna viwanja kinauzwa maeneo ya mbezi Luis DAR
Cha kwanza ni 30*30 milioni 22
kimepimwa na kina ati miliki
Cha pili ni 25*30 milioni 17
kimepimwa na kina ati miliki
Cha tatu ni 20*22 milioni 7...
Wale wanawajua kamongo kutoka singida kazi kwenu sasa nawaleta dar kila tar kumi kwa ordar tu
Kama unahitaji nipigie au sms no 0755250190 naondoka jumanne kuwafuata ukipiga nitakuambia bei
15acres of agriculture land is for sale at Mkuranga district.
The agriculture land with 15acres is for sale in coast region at mkuranga district near by Bigwa village. It is 45minutes drive from...
Habari wadau.
Nimepata deal ya kumtafutia Soko Mteja kwaajili ya bidhaa ya Tangawizi ambayo anatarajia kuivuna wakati wowote kuanzia Sasa na baada ya kupata ODA ya mnunuzi.
Utafiti wangu wa...
Xiaomi (au Mi) power banks, ni kati ya power banks tatu bora zaidi duniani.
Jipatie ORIGINAL Mi power banks (Kila moja ina security code iliyofichwa ya kuhakiki kama original, kupitia mtandao...
Mahala: Biharamulo karibu na Kijiji cha Lusaunga.
Miti:Pines zina umri wa miaka miwili tayari ziko miche 1500
Ukubwa, Heka mbili
Bei:Mil4.5 maelewano yapo
ARDHI: Ina rutuba ya kutosha
Faida...
Kiwanja kipo Salasala ya Mbuyuni, Kipo jirani na Kanisa la Gwajima, kimepimwa na kina Hati, Urefu ni 30 Upana 26, Umeme, Maji, Barabara na Miundombinu yote inapatikana, Kiwanja ni Tambalale, bei...
Wadau mm naleta hoja mezani ya kuhitaji water pump ndogo ilivyo simple
Na bei isiwe kuwa sana na tena uwe ya petroleum na sio Diesel
Asanteni kuhusu shamba tayari nimepata wadau kupitia humu...
Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae,aje somanga kilwa nije kimanzichana au mkuranga mama yangu amepararize na uhamisho nimekosa niko tayari kukulipa gharama za kuhama!! Tafadhali nisaidie malipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.