Nyumba inauzwa tabata magengeni iko kwenye hali nzuri uwanja sqm 1800 inatapakana Barbara segera panafaa kumbi ndio hati take inavyobainisha contact 0655619108
Ipo ununio ya pili kutoka barabara ya ununio kwenda Boko, Nyumba zipo mbili kwenye Eneo moja na kila moja ina vyumba 2 vyote ni self, ina seble jiko na public toilet.
Kodi yake kwa mwezi ni sh...
ina vyumba viwili.sebule.jiko.choo na bafu.ina fensi.kodi laki mbili kwa mwenzi.kodi ya mienzi 6
0746316028.picha network inasumbua kuapload ikikaa sawa ntaweka
Make : Toyota
Model : Landcruiser
Mileage : 127,000 km
Engine size : 4660cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : Four wheels drive (4WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color : Pearl...
Make : Toyota
Model : RAV4
Mileage : 136,000 km
Engine size : 1990cc
Fuel : Gasoline/Petrol
Drive : Four wheels drive (4WD)
Steering : Right
Transmission : Automatic
Ext. Color ...
Viatu tajwa vinatafutwa sana ningependa kama vitakuwa suede material au kama unajua duka vinapopatikana nitafurahi ukinielekeza
pia viwe high top.
Natanguliza shukrani
Salamu zenu wanajf,
Naomba mwenye taarifa za kiwanja 20*20 au 20*30 maeneo yeyote ya barabara ya Bagamoyo tupeane taarifa..boko hadi bunju mpaka mabwepande.
Ukitaja bei ni nzuri pia kama na...
Nauza Lumix Hiyo Gf1 InaChukua Video Kwa 1080 AVCHD. Imetumika 1 month SA. Lens Yake Ni Attached! Ina Battery Pack 2, Chager Na 64 GB Memory! Bei 550,000/= Tu Maulizo Kulialia 0712988560.
Kuna kipindi nilitoa tangazo la kuhusu uchoraji wa picha, kuna mtu alinilipa pesa adavance picha yake ichorwe, mchoraji akapata tatizo, na pesa alikuwa katumia, nikakubali mim kumlipa yule ndugu...
Wakuu habarini popote mlipo.
Ninahitaji gari moja kati ya hizi na iwe no.c au d. na iwe na hali nzuri.
Toyota premio new model
Toyota raum new model
Vitz new model
0753255844
MAZIWA SAFI YASIYOCHANGANYWA NA MAJI WALA CREAM!!!
Tunauza maziwa fresh na mtindi kuanzia lita tano
Maziwa fresh kwa lita tano ni 10,000/-Tshs.
Maziwa mtindi kwa lita tano ni 12,000/-Tshs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.