Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

nauza toyota altezza ina miezi 3 toka iagizwe toka japan reg.namba DGU COLOUR. SILVER YOM. 2002 BEI 11 MILION
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naulizia bei hiyo machine nitapataje nipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Nyumba inauzwa tabata magengeni iko kwenye hali nzuri uwanja sqm 1800 inatapakana Barbara segera panafaa kumbi ndio hati take inavyobainisha contact 0655619108
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina d mbili za chem na biology pia na d nyingine mbili nina four ya point 30. Naombeni mlio jilan na vyuo
0 Reactions
4 Replies
944 Views
Ipo ununio ya pili kutoka barabara ya ununio kwenda Boko, Nyumba zipo mbili kwenye Eneo moja na kila moja ina vyumba 2 vyote ni self, ina seble jiko na public toilet. Kodi yake kwa mwezi ni sh...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Natafuta gar aina ya markx grx120....ningependa kujua bei yake kuitoa japan had bongo na ushuru wake#...Kwa anayefaham tafadhal nijuze!
0 Reactions
4 Replies
973 Views
ina vyumba viwili.sebule.jiko.choo na bafu.ina fensi.kodi laki mbili kwa mwenzi.kodi ya mienzi 6 0746316028.picha network inasumbua kuapload ikikaa sawa ntaweka
0 Reactions
0 Replies
887 Views
Make : Toyota Model : Landcruiser Mileage : 127,000 km Engine size : 4660cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : Four wheels drive (4WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color : Pearl...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Make : Toyota Model : RAV4 Mileage : 136,000 km Engine size : 1990cc Fuel : Gasoline/Petrol Drive : Four wheels drive (4WD) Steering : Right Transmission : Automatic Ext. Color ...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Viatu tajwa vinatafutwa sana ningependa kama vitakuwa suede material au kama unajua duka vinapopatikana nitafurahi ukinielekeza pia viwe high top. Natanguliza shukrani
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Salamu zenu wanajf, Naomba mwenye taarifa za kiwanja 20*20 au 20*30 maeneo yeyote ya barabara ya Bagamoyo tupeane taarifa..boko hadi bunju mpaka mabwepande. Ukitaja bei ni nzuri pia kama na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, Kwa anayefahamu bei ya karanga kwa kg 1 iliyomenywa tayari naomba nijuzwe na soko gani naweza kuuza kama gunia 120.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nauza Lumix Hiyo Gf1 InaChukua Video Kwa 1080 AVCHD. Imetumika 1 month SA. Lens Yake Ni Attached! Ina Battery Pack 2, Chager Na 64 GB Memory! Bei 550,000/= Tu Maulizo Kulialia 0712988560.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Imetumika miezi miwili kwa matumizi binafsi. Rechargeable battery na memory card ya 32gb. Sh 750000 tu anayetaka anipm.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna kipindi nilitoa tangazo la kuhusu uchoraji wa picha, kuna mtu alinilipa pesa adavance picha yake ichorwe, mchoraji akapata tatizo, na pesa alikuwa katumia, nikakubali mim kumlipa yule ndugu...
2 Reactions
1 Replies
961 Views
Kwa mara nyingine natafuta flat used kuanzia inch 18 na kuendelea balance laki na nusu 'whatsup' 0656535646
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habarini popote mlipo. Ninahitaji gari moja kati ya hizi na iwe no.c au d. na iwe na hali nzuri. Toyota premio new model Toyota raum new model Vitz new model 0753255844
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAZIWA SAFI YASIYOCHANGANYWA NA MAJI WALA CREAM!!! Tunauza maziwa fresh na mtindi kuanzia lita tano Maziwa fresh kwa lita tano ni 10,000/-Tshs. Maziwa mtindi kwa lita tano ni 12,000/-Tshs...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wadau natafuta kununua iphone6 used kwa mtu....mwenye nayo anipigie 0746058676 m npo geita
0 Reactions
3 Replies
964 Views
Nauza ACCER E3,mpyaa kabisa,ina 500gb,2gbram,processor 2.16.ina siku4 tu imetumika bei tsh 470000 call 0653779235
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom