RFP Senior Member Jun 15, 2016 171 194 Jul 23, 2016 #1 Wakuu anaeuza kiwanja Dodoma ambacho hakina migogoro tufanye biashara, maana naona kuna hatihati ya kulihama jiji
Wakuu anaeuza kiwanja Dodoma ambacho hakina migogoro tufanye biashara, maana naona kuna hatihati ya kulihama jiji
Man Mvua JF-Expert Member Apr 12, 2016 2,184 3,520 Jul 24, 2016 #4 Serikali inahamia dodoma ndani ya miaka minne ijayo so huko ndo kwenye issue kwa sasa.
Mnondwe JF-Expert Member Apr 10, 2015 4,013 3,675 Jul 24, 2016 #5 Dar itabaki kama Jo'burg mji mashuhuri na wa kibiashara,noti na mipango paleoale.
kishaija JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,049 1,197 Jul 24, 2016 #6 Mi nnacho lakn sikiuzi.Nisamehe bure