Tusafiri Pamoja kutembelea hifadhi ya taifa ya #ngorongoro_crater tarehe 27/12/2016 na kurudi tarehe 29/12/2016 kwa gharama ya 190,000 tu. Mwisho wa kufanya booking ni tarehe 20/12/2016. Safari...
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
Tunapenda kuwatangazia shule, taasisi kwamba tunatoa punguzo la bei kwa vifaa na chemicals za shule katika kipind hiki cha maandaliz ya mitihan.Tunapatika kariakoo mtaa wa muhoro na swahili pia...
viwanja vya ukubwa kuanzia metre 17.5 hadi heka 30 vinauzwa Moshi
klmanjaro
Viwanja hivi unaweza kujenga nyumba kwa ajili ya makazi au kupangisha unaweza kujenga sheli shule , hospital na...
Ipo Makongo juu. In chumba kimoja cha kulala chenye choo na bafu, sebure, sehemu ya kulia chakula, jiko, choo cha wageni na vibaraza mbele na nyuma. Nyumba imezungushiwa uzio. Kodi tshs 500,000...
Wakuu msaada please natafuta chumba cha kupanga maeneo hayo hapo juu msewe au changanyikeni,chumba kiwe kina hali nzuri na maeneo poa pia huduma ya maji na umeme iwe ni uhakika.na kuhusu gharama...
*MADALALI NNA BREVIS NUMBER CHM...YA SILVER...CC2400...KM 150k...VIBALI PAID...BOSS ANA MADENI ANATAKA 7.7 BILA POSHO...KWA PICHA...NA LOCATION NCHEK SHIMONI*[emoji6]
1. Kiti kimoja kirufu
2. Viti viwili vya kuzunguka kwa ajili ya kunyolea
3.machine mbili moja mpya kabisa na ingine imetumika kidgo
4. Kabineti ya alumium na vioo kwa ajli ya kuwekea vipodozi
5...
Utafiti ulifanywa kwa nini Wajapani hawaugui magonjwa ya kansa, kisukari na magonjwa ya moyo, ikaonekana kwamba Wajapani wanatumia sana vyakula vya baharini ukilinganisha na watu wa magharibi...
Habari za muda huu wana JF
Mim ni wakala wa matangazo kutoka kampuni ya IPP MEDIA kupitia magazeti ya NIPASHE na THE GUARDIAN. Nimejitokeza kwenu kwa wenye kampuni au mtu yeyote anayependa...
Habari wana jamvi!
Nahitaji dagaa kwaajili ya chakula cha mifugo,wale wa mwanza
Nahitaji tani 30-40
Nipe mchanganua wa bei yako hadi mzigo naupata dar es salaam utakua unaniuzia tsh ngapi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.